Trust katika Mahusiano

that is exactly my point..... kwa nini useme uongo kuwa hutaonana na John wakati unaonana naye?
jitahidi kumpa sababu ambazo zinakufanya kwa Haki ya Mungu lazima uonane na John, kama huyo John ni muhimu kwako kwa kiasi hicho
 
Bahati mbaya mimi siyo mdau wa uongo usio na tija...

Huo wenye tija hata ukinaswa unasema kweli kwamba sikutaka kukuharibia mood...and you now that we have a great appointment tonight.....ni rahisi kueleweka IMO!!

Babu DC!!
ha haaa, haya babu.......
Omba Mungu kweli ueleweke, otherwise moto utakuwakia
 
Reactions: BAK
dada mkubwa hivi mahusiano si ni pamoja na urafiki yani ule ushostito!!
sasa kama rafiki yangu au shosti yangu ananifunga kamba kila siku!kila siku yeye marope tu!yani hata sipumui!huo nao ni uongo uso na tija au?
manake wengine huwa tunaamini tuko waaminifu sana kiasi cha kushindwa hata kujiamini wenyewe!
aaaargh!
 

Mimi sijaona change yoyote hapo, zaidi ya mdada kuficha asili yake 'extravagant spending'. Na the way walivyo ishughulikia hiyo issue is the right way, umefahamu mapungufu ya mwenzi wako na unayakubali.

lakini naona point yako, kwamba ili kum'nasa' mtu basi jaribu kuwa jinsi anavyotaka uwe, at least in the beginning ili hata akija kushtuka basi utakuwa naye ndani tayari huenda na watoto watatu; ndicho kinachotumiwa na wanaume na wanawake wengi. Lakini for some of us ambao sio pretender wazuri tunapata wakati mgumu sana tena tunaishia kuchemsha pale tunapojaribu kuwa watu wengine; madhara yake ni nini? HATUPATI WENZI KWA URAHISI, maana ukiniuliza nishakuwa na wanaume wangapi, nitaanza kuhesabu na ni nitakupa idadi yangu say 12, tofauti na hapo sintakujibu hilo swali.

Abaout change, naamini change ipo tu na itatokea lakini character ya mtu ndio inayodefine the way you deal with that change; mf. nikikasirika unajua ninavyoreact so hata kama kuna mavitu yakitokea yakanisababisha nikasirike reaction yangu itakuwa more or less the same. Same way nikiwa na furaha, nimefulia etc.
 
Umeeleza kwa kirefu sana rafiki na mengi ni ya msingi.......
ninachojaribu kukiangalia hapa ni je kama katika kudanganya kwako, kwa sababu yoyote ile ukakamatwa...... unakuwa umeweka wapi uaminifu wake kwako (wako kwake? kiswahili nacho kigumu!)?

Na mara nyingi watu hatimae hukamatwa... 🙂 Sasa hapo ndio hadithi nyingine kabisa...

Lets say kaongopa anaenda Sokoni na akagundulika kaenda Saloon..

Je huyo ni muongo mzuri to the extent anaweza toa uongo zaidi kujikomboa?

Oh' baba FB Saloon ninayo enda ni hadi appointment, nilipokua nikienda sokoni nilipigiwa simu kesho niliko panga appointment hawatakuwepo kama nikiweza niende leo; so nikaenda huko. Sababu nilisha kuaga nikaona hakuna haja nikusumbue.

Je ni manipulator na atatumia hiyo kama sababu ya kukulaumu wewe kuwa ndio umesababisha?

Baba FP tatizo wewe siyo mwelewa... Hivi hujui kuwa wake huwa tunasemwa kijiweni nani anatunzwa zaidi? Sasa wewe nikikuaga siku zote naenda saloon unasema nimezidi! Na mimi sitaki kukuangusha hapa mtaani napendeza kwa ajili kutukuza jina lako hapa mtaani. So naona bora nikudanganye ili nisikuumize lakini nihakikisha hapa mtaani RESPECT! Hata wakiona napita wasema mke wa baba FP Kapita...

Je atakuwa genuine na aombe tu msamaha ili yaishe huku akijustify?

Najua hupendi niende saloon mara kwa mara. Leo nimesikia kiharufu kitatoka kichwani kikanikosesha raha nikaona ni kheri nikaoshe...

Its not black and white so hapa sasa ni matokeo FP.
 
ha haaaa, dada mdogo mahusiano yoyote yale, hata na shostito kamba zikiwa nyingi unaanza kujiuliza kulikoni mbona kila siku marope? sasa wewe shostito kama huyo inaweza tokea ukamwamini kwa chochote kile? hata kama this time anasema ukweli?
 

FP japokuwa hujataka tuzungumzie uaminifu kwa maana ya cheating ila mjadala wako impliedly umejikita kule kule usikotaka tujadili i.e cheating...... lakini pia FP hakuna kitu chochote hapo zaidi ya uaminifu wa cheating maana kama utadanganya unaenda point A na ukaenda point B basi kuna agenda ya siri ambayo itapelekea kucheat.... vp mwenzangu umetenda au umetendwa?
 
ha haaa, kama unataka yawe kazi yatakuwa hivyo, lol!

Sidhani kama kuna kutaka au la. Nadhani ndo asili yake tu. Ndiyo maana kuna msemo wa Kizungu usemao 'the phenomenon of love'. Maana yake ni kwamba hata ufanye nini kuyaelewa kikamilifu ni jambo gumu sana.

Ndiyo maana unakuta mwanaume kaoa mcheza filamu za ngono na eti wanapendana sana na wala hasumbuliwi na ajira ya mkewe au unakuta mama mzima (mwalimu) mwenye miaka 30 na kitu na ni mke wa mtu lakini anagegedana na mmoja wa wanafunzi wake ambaye ni teenager na hadi anafikia kubeba ujauzito wa huyo bwa'mdogo, hali inayopelekea kutalikiana na mumewe wa ndoa na kuanza maisha na huyo serengeti boy.

Hayo nayo ni mapenzi.
 
Da Mdogo MJ1, kwanza salamu zako sana toka kwa FirstLady1 hapo juu.... ujue tunakumiss sana......
nakubaliana kabisa na wewe hapo kwenye RED, kama si mwelewa........
Vipi kama mwenzio ni mwelewa? unakuwa unamkinga na nini kwa kumdanganya?
Da Mkubwa, aksante kwa salamu jamani huyu FirstLady1 anajua ninavyomwonea wivu.............. haha. Ni kweli dada kama mpenzi ni mwelewa kuna uwongo mwingine ambao hauna tija sana sana hata akigundua kuwa unamdanganya atakushangaa. Na kwa nini utengeneza uwongo ilhali wajua kuwa mwenzio ukimwleleza atakuelewa? Ni hulka au?
 
Last edited by a moderator:
Katika huu uzi nitazungumzia sana uaminifu wa mambo ya kawaida tu, siyo kutoka nje ya mahusiano (cheating).

Hii sentensi ni kama vile imekaa kinyumenyume...!

Kama upo kwenye mahusiano (me & ke) in this case, kutokuwa mwaminifu ( au kuwa mdanganyifu), ni dalili KUU inayoashiria kuwa kuna "cheating"...! Au kwa maana nyingine "kutokuwa mwaminifu kwa mambo ya kawaida" kwa mwenza wako, maana yake ni kuwa upo njia moja kuelekea kwenye "cheating" au tayari una-cheat...!

Siku Njema
 
hapo kwenye RED sasa ndo adha ya uongo..... ukishaanza kuusema, ili mwenzio akuelewe, basi hiyo chain itaendelea..... there is no way utaokoka. kinachonishangaza tu ni kwa nini mtu ujiingize kwenye hiyo chain kwa uongo usio na tija? ule wenye tija labda, ingawa kwangu uongo ni uongo, wenye/usio na tija....
umenichekesha sana ulivyo-narrate hizo scenarios, lol!
 
FP hivi unapoanza kufikiria kwa umakini namna hii utafikiri unabalance redox reaction ya complex compound huwa unakuwa umekula nini??

to me jamani hili swala linategemea sana unaish na mtu wa namna gani. Binafsi hubby ni bora umwambie ukweli tu hata kama ni mchungu manake atafume kisha mtaenda sawa. ila lying halafu baadae aje agundue hilo nimeshaonaga ni kosa ambalo halisameheki kirahisi kwake.

kwangu mimi ni bora niseme ukweli hata kama unauma sana najua maumivu yake yatapoa life itasonga but lying to him sithubutu.
 
Last edited by a moderator:
Simpendi mtu mwongo kabisa hasa katika mahusiano.
Na kwa bahati mbaya ni rahisi kujua "huyu amenidanganya". Usipokuwa mwaminifu kwa mambo madogo makubwa je?
I can stand mpenzi wangu anitukane akiwa na hasira lakini siyo kunidanganya.
 
mi nahama kabisa kwenye vintage!
hv unajua kuna watu wataalamu wa uongo kiasi moka unajiuliza hiv why did he/she lie here?
hv ukisema nimevaa rangi nyeupe wakati tunakuona umevaa ya kijani ujue ni tatizo!
lakini kutokuwa mkweli wakati mwingine ni kujikataa!
yumkini unafanya maovu sana kiasi cha kuaminini nikihakikisha naonekana mwema pengine itanipa faraja kiasi fulani!
lakini tunaweza pia kuwa tumeengukwa na watu tunaoamini wako waaminifu sana kiasi cha kuamini sisi ni waovu so let me jus be this cyrstal kumbe duh!
lakini wakati mwingine matarajio ya jamii zinazotuzunguka zinatulazimisha kuwa sio sisi!
au pengine ni vile sisi tumeiaminisha jamii inayotuzunguka kuwa sisi ni hawa na kuwa mtumwa wa hiyo image tunayoamini jamii inayo kutuhusu!
mi sijui nawazza tu kwa sauti!
huwa sielewi kwa kweli!
 
ha haaa, rafiki unanilazimisha twende huko, hakuna ubaya lakini.
Inawezekana mtu anaaga kwenda kwa shangazi kumbe anaenda kwa dada ili akakutane na mtu wake, sijui....
sasa mbona unakimbia wakati ndo kwanza ngoma inaanza?
natamani sana kuwasikia Mtambuzi na Himidini (mzee wa maombi kabla ya mlo, lol!)
 
Last edited by a moderator:
babu naomba nikuulize hivi kwann hili swali huwa mnalipenda sana ilihali linawaumiza??
Kaunga hebu nidadavulie what is IMO??

Shangaa na weye bwana hakimu, halafu wanasemaga "wanawake tunapenda kudanganywa" sasa watu kama hawa wanataka nini zaidi ya sisi kuwaprotect wasiumie kwa kuwadanganya na the foamous 2 number?

IMO ni kifupi cha In My Opinion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…