Trump Ready to Tackle North Korea Alone.

Trump Ready to Tackle North Korea Alone.

Siku N.Korea akirusha nuclear Japan au North Korea bhas huo ndo utakua mwisho wa taifa linaloitwa North Korea. US ndo atakua kashapata sababu ya kumchapa kwa nuclear, maana US alishasemaga siku north korea akishambulia mmoja wa washirika wake bhas italipiza na kujibu kwa kishindo kikubwa zaid. Trident, B61,B83 zote zitatua north Korea.
Hawawezi, DPRK sio nchi ya kitoto, wamewekeza kwenye silaha za nyuklia kitambo sana na ni washirika wazuri wa Russia na China. DPRK inachezea GPS za meli za South Korea unafanya mchezo nini.
 
Vita ya vietnam ilikuwa tofauti... US hawakuwa prepared.. walivamia tu kichwa kichwa..
Sasa nataka nikwambie kitu...
Kuna technologia mpya inaitwa THAAD. Hii defence ni mpya kabisa.. inauwezo wa kuzuia makombora ya nuclear kabla hata hayajarushwa angani
Mr huu ni uongo ulio wa wazi kabisa kuhusu THAAD inavyofanya kazi.thaad haina uwezo wa kuzuia kombora lisiluke ila inachofanya pindi kombora likirushwa yenyewe inasense Yale mawimbi kabla ya kutua na baada ya hapo THAAD inaachia kombora Litakalo-intercept kombora la adui. Na si hivyo kama unavyodai ww.
 
Yeye watu wake hawatadhurika ila hawa vibaraka wake Japan na s. Korea wako tayari kuvurumishiwa hayo madude ya Pyongyang? Kwa sababu N korea jeuri yake siku akichokozwa hatakuwa na njia mbadala tofauti na kuwashambulia hawa vibaraka wa marekani je Japan yuko tayari kurudia historia ya Nagasaki na Hiroshima? Cha msingi hapa kila nchi iachwe ijitawale hata kama watachinjana yatakuwa ni makubaliano ya sheria zao
Kuna "David's sling"

N.K Amekula wa chuya kwa uvivu wa kuchagua.
 
Hawawezi, DPRK sio nchi ya kitoto, wamewekeza kwenye silaha za nyuklia kitambo sana na ni washirika wazuri wa Russia na China. DPRK inachezea GPS za meli za South Korea unafanya mchezo nini.
Labda kwa nchi km South Korea ila sio US. Unakumbuka walivyohack kampun ya Sony ili isionyeshe ile film ya Kim Mmarekan akawazimia internet. Kufananisha N.Korea na US ni sawa na ufananishe et Turkey na Russia kwamba wakipigana utegemee Turkey iipige Russia. Hzo ni ndoto za alinacha.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Labda kwa nchi km South Korea ila sio US. Unakumbuka walivyohack kampun ya Sony ili isionyeshe ile film ya Kim Mmarekan akawazimia internet. Kufananisha N.Korea na US ni sawa na ufananishe et Turkey na Russia kwamba wakipigana utegemee Turkey iipige Russia. Hzo ni ndoto za alinacha.
Nchi yoyote yenye Nyuklia si ya kuchezewa.
 
Nawashangaa wanaomshabikia huyu kichaa mnyoa panki, Siku North Korea ikiangamizwa, dunia italia Sana, Hamtaweza Ukiona China wala Russia ikimsaidia.
Wataishia kusema Marekani anaonea Sana wenzake, by the way, Japan kijeshi ipo vizuri mno, sijui ni wapi Huyu chizi atajiokoa, watu wanashabikia bila kuujua undani wa US na Japan.
Mambo yapo area 51 Nevada, hata Russia anajua tu, huwa Marekani wakichukia kabisa, hamtamwona Putin akiweka pua, waache mkuu waendelee na ushabiki ila ukweli hadi sasa hvi ni kuwa, US haina mpinzani.
Wewe unawafaham kiundan N.K?,acha pia ushabiki k
 
bhas siendelei kubishana na ww. Siku njema.
Kwahyo wewe ulitaka aseme N.K?, hvi N.K mnadhan mjinga kiasi gan aanzishe chokochoko huku akijua fika haliwez?. Vita ni vita kushinda au kushindwa ni probably kwa wote walioko vitan.
African Lyon vs Simba sc
 
Ndio mana nakwambiawewe hujui unapapasa papasa tu juujuu,izo system ziko kibao duniani,na mrusi ndio anazo zaidi,io thaad ni ya mmarekani, kila mtu anayo kwa jina lake,ila zote haziwezi kuzui kombora lifikia finalstage, nasema tena hakuna system inayozui kombora lilifikiafinal stage,zote zote zinazuia kombora likiwa bado likosafarini na siofinal stage walalikiwa halijarushwa, nenda kasome tena, na kwataatifa yako io thaad ni chamtoto ktk kombora la china, na lile lamrusi, satan, na satan2.
Wewe ni moja ya wale russian fun boys....

Nitajie aina ya makombora matatu ambayo yanatumika dunian sana kwa sasa?
Nitajie aina za defence zinazotumika na nchi mbalimbali kwa ajili protection against enemy nuclear or ballistic missles?

Ww si unasema mm nasoma juu juu....?
Jibu hayo maswali.. maana usikute nabishana na mtu uelewa wake uko chini...
 
America is hypocrite. This is the first country in the world to use Nuclear weapons against other nation. No any orher country in the world that has ever used nuclear weapons against other state other than America.They used them against Japan, hiting Hiroshima & Nagasaki cities, In the world war II in 1945

Several times they were heard denieying other countries like Iran, North Korea , Iraq and Syria not to poses these deadly weapons of mass destruction for reasons that they are not good managers on such weapons, that sometime they may use them to strike other countries

But look, it is the opposite. Americans are the ones with no desplean on these weapons. As I said earlier, the Americans hited 2 Japanese cities with the same deadly weapons they are fighting not to be possessed by other countries. This is pretty double standard.

Americans tried so much to block North Korea not to have nuclear weapons Thanks god they have failed . North Korea is now supper Nuclear nation, and the Americans knows this. Now if Donald Trump strike Noth Korea for what he is saying to punish it, the respond from North Korea will be swiftly, accurately and dealy. There will be heavy consequences to the American's puppets -Japan & South Korea, and the Americans themselves. Sadly Japan has forgotten what happened to them in Hiroshima & Nagasaki and yet is looking for another disaster.

North Korea is now full equipped with Inter continental Ballistic Missiles (ICBM) which are capable of carrying Nuclear warheads to many American cities within short time beside South Korea & Japan.

In my view, if the Americans want to abolish manufacturing of Nuclear weapons, let them be very first to destroy theirs, all, show the road map, and then from there they will have legitimacy to point their finger to other countries. If the Americans won't do that, then they shut up their mouth! let North Korea, Iran and other countries manufacture Nuclear Weapons If they wish...

America must know that North Korea is Not Iraq or Libya. If America want to perish it's citizens in millions, let it try to strike North Korea this time around.
 
Mabishano mazuri ya kueleweshana ubora wa silaha hizi nzito za haya mataifa matatu,na Nani Ni tishio zaid
 
Ndio mana nakwambiawewe hujui unapapasa papasa tu juujuu,izo system ziko kibao duniani,na mrusi ndio anazo zaidi,io thaad ni ya mmarekani, kila mtu anayo kwa jina lake,ila zote haziwezi kuzui kombora lifikia finalstage, nasema tena hakuna system inayozui kombora lilifikiafinal stage,zote zote zinazuia kombora likiwa bado likosafarini na siofinal stage walalikiwa halijarushwa, nenda kasome tena, na kwataatifa yako io thaad ni chamtoto ktk kombora la china, na lile lamrusi, satan, na satan2.
Mtu akifuatilia comment zako inaonekana wewe sio mbishi ila MBISHANAJI yaani hata kiv cha kukataa tu wewe unabishana.
 
Mr huu ni uongo ulio wa wazi kabisa kuhusu THAAD inavyofanya kazi.thaad haina uwezo wa kuzuia kombora lisiluke ila inachofanya pindi kombora likirushwa yenyewe inasense Yale mawimbi kabla ya kutua na baada ya hapo THAAD inaachia kombora Litakalo-intercept kombora la adui. Na si hivyo kama unavyodai ww.
Haha unachanganya bro
Nathan kirefu cha THAAD hukijui
 
Back
Top Bottom