Trump Ready to Tackle North Korea Alone.

Trump Ready to Tackle North Korea Alone.

Wakati Usa anaifuta N korea kwenye ramani ya dunia Japan Na S korea watakuwa wapi? N korea hana cha Kupoteza kikinuka Japan s kusini wavurumishiwa Nyuklia za kutosha na mbaya zaidi Makombora ya Nyuklia ukiwahiwa huna chako sasa mwambieni huyo usa amchokoze mnyoa kiduku kama anawapenda vibaraka wake afunge domo lake n korea siyo waarabu wa kupelekwa pelekwa aliwakimbia wavietnam leo hii atawaweza wanyoa viduku?
Vita ya vietnam ilikuwa tofauti... US hawakuwa prepared.. walivamia tu kichwa kichwa..
Sasa nataka nikwambie kitu...
Kuna technologia mpya inaitwa THAAD. Hii defence ni mpya kabisa.. inauwezo wa kuzuia makombora ya nuclear kabla hata hayajarushwa angani
 
Si wakinukishe tangu miaka ya 90 wanapiga porojo tu mpaka leo
 
China hatompa msaada wowote Trump, China analinda maslai yake ya biashara na K.Kaskazini

Kwenye hii vita China atakuwa upande wa K.Kaskazini

hakuna unachokijua, hiv US na n.korea ni wapi kwenye maslahi makubwa ya kibiashara ya china?!! ebu ngoja nikutoe ukungu kidogo kwenye hiyo bongo yako, Biashara anayoifanya china na US ni biashara kubwa na profitable kuliko biashara anayofanya china na nchi yoyote ile duniani. kwa taarifa yako biashara anayopiga china US ni kubwa kuliko biashara anayopiga china na bara la Afrika.
 
Nawashangaa wanaomshabikia huyu kichaa mnyoa panki, Siku North Korea ikiangamizwa, dunia italia Sana, Hamtaweza Ukiona China wala Russia ikimsaidia.
Wataishia kusema Marekani anaonea Sana wenzake, by the way, Japan kijeshi ipo vizuri mno, sijui ni wapi Huyu chizi atajiokoa, watu wanashabikia bila kuujua undani wa US na Japan.
Mambo yapo area 51 Nevada, hata Russia anajua tu, huwa Marekani wakichukia kabisa, hamtamwona Putin akiweka pua, waache mkuu waendelee na ushabiki ila ukweli hadi sasa hvi ni kuwa, US haina mpinzani.
Jamaa Nk wanajiamini kwa kombora Lao linaitwa DF 41 but surly kuna jamaa wanancheki achokoze wamtolee makombora mubashara
 
Hivi watu wanapoisikia US wanaionaje au wanaisikia juu juu tu ogopa nchi ambayo ndo wenye maamuzi ya uchumi wa nchi zote dunian na haijawah kuyumba kiuchumi
Usa hana maamuzi yoyote ya kiuchumi kinacho endelea kimbeba usa ni utumiaji wa hela yake kwenye international markt kitu ambacho miaka michache ijayo hakitakuwepo
Angalia real gdp ya china na usa,pia angalia nominal gdp zao utajua ninaongea kitu gani
 
Vita ya vietnam ilikuwa tofauti... US hawakuwa prepared.. walivamia tu kichwa kichwa..
Sasa nataka nikwambie kitu...
Kuna technologia mpya inaitwa THAAD. Hii defence ni mpya kabisa.. inauwezo wa kuzuia makombora ya nuclear kabla hata hayajarushwa angani
Muongo wewe.
 
Usa hana maamuzi yoyote ya kiuchumi kinacho endelea kimbeba usa ni utumiaji wa hela yake kwenye international markt kitu ambacho miaka michache ijayo hakitakuwepo
Angalia real gdp ya china na usa,pia angalia nominal gdp zao utajua ninaongea kitu gani
Anamaamuzi
Ndo maana US ikikuwekea vikwazo uchumi wako lazima uyumbe
Chukulia mfano cuba
 
Vita ya vietnam ilikuwa tofauti... US hawakuwa prepared.. walivamia tu kichwa kichwa..
Sasa nataka nikwambie kitu...
Kuna technologia mpya inaitwa THAAD. Hii defence ni mpya kabisa.. inauwezo wa kuzuia makombora ya nuclear kabla hata hayajarushwa angani
Muongo sana wewe jamaa, mpaka sasa hapa duniani hakuna air defence yeyote ile inayo weza kuzui kombora laaina yeyote ile linapo fikia finalstage ya kutaka kulipuka,defence zote zina wezafanya kazi kama kombora liko ktk stage za mwanzo, alafu eti unasema io thaad inaweza fanya shambulizi eti kabla kombora halijarushwa.? Muongo nenda kasome vizuri wacha ushabiki wa kipuuzi.
 
hakuna unachokijua, hiv US na n.korea ni wapi kwenye maslahi makubwa ya kibiashara ya china?!! ebu ngoja nikutoe ukungu kidogo kwenye hiyo bongo yako, Biashara anayoifanya china na US ni biashara kubwa na profitable kuliko biashara anayofanya china na nchi yoyote ile duniani. kwa taarifa yako biashara anayopiga china US ni kubwa kuliko biashara anayopiga china na bara la Afrika.
Anamaamuzi
Ndo maana US ikikuwekea vikwazo uchumi wako lazima uyumbe
Chukulia mfano cuba
na mrusi nae anasubiri huruma ya trump katika kumuondolea vikwazo maana vinamtesa mpaka basi
 
View attachment 490471


Rais wa Marekani amesema kuwa yuko tayari kuichukulia hatua North Korea peke yake, kuhusiana na vitisho vya Nuclear kama China haitashiriki kusaidia katika kuishawishi N.K.

"China ina ushawishi mkubwa kwa N.K na kama wataamua kusaidia itakuwa vizuri, na kama hawataamua kusaidia haitakuwa vizuri kwa yeyote. Lakini alisisitiza kuwa atapambana na N.K "with, or without China."
Rais Barack Obama alimtahadhalisha mfuatilizi wake kuhusu N.K kuwa tishio kubwa kwa Marekani baada ya kugundua kuwa Pyongyang wamepiga hatua katika kutengeneza makombora ya masafa marefu na silaha za nuclear.

“There is a real possibility that North Korea will be able to hit the US with a nuclear-armed missile by the end of the first Trump term,” KT McFarland, the deputy White House national security adviser, told the FT in a separate interview.

While Mr Trump is increasingly worried about North Korea, his view on Europe has moderated. He stressed that Brexit would be a “great deal for [the] UK and . . . really good for the European Union” but said he was less convinced that other countries would follow the UK out of the EU. “I think that it [the centre] is really holding. I think they have done a better job since Brexit.”

Ahead of the US-China summit, Mr Trump raised hopes that he would reach some kind of deal with Mr Xi, despite heavy criticism about China’s trade surplus and exchange rate policy. “I have great respect for him. I have great respect for China. I would not be at all surprised if we did something that would be very dramatic and good for both countries and I hope so.”

The National Security Council has completed a review of options on North Korea that Mr Trump ordered after his inauguration, according to two people familiar with the review. One of those people said the review had been accelerated to have the options ready for the Trump-Xi summit.

FT exclusive: Trump ready to tackle North Korea alone
Nilijua tuu hili Jamaa likiingia tu lazima lianzishe vita tuu
 
Marekani anapiga tu mayowe, analinda uchumi wake akiingia kwenye vita Urus atakuwa superpower
 
Muongo sana wewe jamaa, mpaka sasa hapa duniani hakuna air defence yeyote ile inayo weza kuzui kombora laaina yeyote ile linapo fikia finalstage ya kutaka kulipuka,defence zote zina wezafanya kazi kama kombora liko ktk stage za mwanzo, alafu eti unasema io thaad inaweza fanya shambulizi eti kabla kombora halijarushwa.? Muongo nenda kasome vizuri wacha ushabiki wa kipuuzi.
Wewe ndio hujisomei kaka.... hufuatiliii mambo. The reason why america walitengeneza hiyo system ni kwa ajili ya nuclear missile threats from russia and korea.
THAAD...
Google ujisomee....
 
Wewe ndio hujisomei kaka.... hufuatiliii mambo. The reason why america walitengeneza hiyo system ni kwa ajili ya nuclear missile threats from russia and korea.
THAAD...
Google ujisomee....
Ndio mana nakwambiawewe hujui unapapasa papasa tu juujuu,izo system ziko kibao duniani,na mrusi ndio anazo zaidi,io thaad ni ya mmarekani, kila mtu anayo kwa jina lake,ila zote haziwezi kuzui kombora lifikia finalstage, nasema tena hakuna system inayozui kombora lilifikiafinal stage,zote zote zinazuia kombora likiwa bado likosafarini na siofinal stage walalikiwa halijarushwa, nenda kasome tena, na kwataatifa yako io thaad ni chamtoto ktk kombora la china, na lile lamrusi, satan, na satan2.
 
Wewe ndio hujisomei kaka.... hufuatiliii mambo. The reason why america walitengeneza hiyo system ni kwa ajili ya nuclear missile threats from russia and korea.
THAAD...
Google ujisomee....
Mmarekani amekiri mwenyewe kuahawezizuia kombora la satan,tena alie kili ni general wa vita toka pentagon, na la mchina kasema ni ngumu mana lina speed sana linakwenda km8 kwa sec, thaad hainaio range na speed io,nenda kasometena,fungua you tube kuna video kibao zinazungumzia kuhusu io, na izosystem zote ni mobile,na ant missile.
 
Back
Top Bottom