FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
Picha ya juu hapo inaonesha mgombea aliyepita wa chama cha Democrats akipongezwa na "mumewe"!
Mwanasiasa wa Amerika Pete Buttigieg alipanda kutoka kuwa meya mdogo wa jiji kwenda kuwa mgombea wa urais wa chama cha Democrats ndani ya mwaka mmoja tu.
Jee, atachaguliwa, kuwa shoga wa wazi wa kwanza kuwa Rais wa USA?
Binafsi nasema ni heri abaki Trump mara millioni kuliko kinyaa huyu.