sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,032
Wapinzani (Democrats) Hatimae wameuona Mwanga baada ya safari ndefu kwenye handaki, sasa ni dhahiri hata kwao kwamba Kumsdinda Trump kwa kumtumia mgombea wao Joe Biden ni kama kumchuna ngozi kupe, Haiwezekani,
Ni wazi katika hio video Nancy Pelosi amekiri kwamba Mgombea uraisi kwa tiketi ya chama chake (democrats) hataweza kupambana na trump katika mdahalo
Licha ya wamarekani kujua hili wazi ya kwamba Joe Biden atageuzwa kuwa Punching Bag ya Trump kwenye mdahalo lakini wamarekani hawajakubali huu ujumbe wa democrats maana uraisi ni hatma itayoamua muenendo wa wamarekani kiujumla, hivyo wamarekani wana kiu ya kuona mdahalo
Je kama Joe Biden Mgombea Uraisi hawezi au anaogopa kufanya debate na trump, atawaweza wachina ??? au ataishia tena kupokea zile trilioni 3 za rushwa??
Ila pengine ni kweli kabisa Biden kapewa ushauri mzuri sana maana sioni namna atayo debate na trump hasa ukizingatia ugonjwa wake wa kusahau kwa sana zikiambatanishwa na matusi na hasira kali, Perharps its the best course of action.