Trump kutegemea nguvu ya dola ni sawa na Tanzania, ila dola ya Marekani ni tofauti na Tanzania

nguruka wa kig0ma

JF-Expert Member
Jan 16, 2020
2,946
2,929
Saaalam wana JF,

Ndugu zangu, nimefuatilia maandamano nchini marekani ninejifunza jambo kubwa sana, mpaka nikajiuliza kwanini sisi Tanzania?

Kwanza nikamtathimini Trump, kwa amri ya kutumia polisi kuzima maandamano kisha jeshi. Nikaona hakuna tofauti na nchi yetu kwa sasa. Kila kitu jeshi, nikajiuliza nini maana yake (mwenye jibu tafadhali)

Cha tofuati nichokiona na kujifunza, polisi na JW wa marekani hawapigi watu, hawahoji watu barabarani, hawatishi kabisa, hatumii maji ya kuwasha, hatupi mabomu ya machozi. Ingelikuwa ni hapa kwetu wafu wangekuwa wengi kwelikweli zaidi ya vifo vya covid19, majeruhi hospitali zingejaa nako wangeambiwa wasitibiwe atakayewatibu kazi hana.

Nikalinganisha na wakati wa mgogoro gas ya Mtwara, Chinga waligogwa mpaka wakaacha ndoa zao wakawa wanalala maporini. Wakati wa korosho mwaka jana, wakulima walizikimbia korosho, watu walikimbia mashamba yao, kisa mikwara vitisho vya JW wa Tz.

Nikajiuliza ivi sisi ni watu au wanyama? Kama ni watu mbona utashi wetu ni kama wanyama?

KUNA SIKU VIONGIZI WETU NA MAJESHI YETU YATASTAABIKA KWELI

JW wa Marekani wangekuwa wataka sifa wangejipendekeza kwa Trump,l akini hawajafanya hivyo, hata yule polisi aliyemsukuma raia, polisi wenzie walimtia nguvuni palepale.

AMA KWELI TANZANIA MMH!!!

Tutayaona mwaka huu kwenye uchaguzi.

Karibuni, povu ruksa!
 
Sisi watu weusi matatizo.
Bado.chembechembe za tabia za wanyama hazijaisha.

tukiludi kwenye ajenda yako.

Tatizo kubwa hapa ni elimu ya haya mambo.

Serkali haitaki kuwapa elimu wasimamizi wa maandamano na wanaoandamana.

Kwanza wakuu wa mikoa,wakuu wa wiraya na wenyeviti wa vijiji wangekua wanatoa elimu za mala kwa mala kuhusu maana ya maandamano,faida zake na hasara zake.

Mtu anaetaka kuandamana anatakiwa aweje na vitugani hapaswi kuvikiuka/ kuvifanya wakati anaandamana.

Na police vilievile wapewe elimu kuhusu usimamizi wa mandamano .

Lakini kwa hapa kwetu mwandamanaji hana elimu ya uandamanaji na wala hajui maana ya maandamano yenyewe.

Askari nae ndio kabisaa.
Akiambiwa kuna maandamano ndio hakilia yake inamtuma kutafuta bunduki iliko anasahau anaemshikia bunduki ni mtanzania mwenzake usikute anachodai nayeye labda kingemsaidia kwa baadae.

Muandamanaji nae akiambiwa kunamaandamano basi wabeba mawe,mataili ,magogo,wakifika barabarani miundombinu inahalibiwa ,ukikutwa na genge lako la mboga linavulugwa na kuchukua vilivyomo.

Lakini yoote hayo,
ASKARI NDIO ANATAKIWA KUWA SMART KULIKO RAIA KATIKA KUTATUA MATATIZO.

lakili usishangae ukamuona askari kachafuka manyota begani lakini kitu atachofanya hadi utashangaa.
 
Kama viongozi hawana muda wa kuwapa elimu watu wake juu ya mambo hayo,basi waliingize somo hili mashuleni ili watoto wao/wetu wajifunze.
 
Jeshi na polisi ni extendend political parties na magenge ya kisiasa ya watawala.

Wale ni wanasiasa waliovaa magwanda tu. Hawako tayari kuona unaleta tishio dhidi ya mamlaka, kwasababu wao na mamlaka ni kitu kile kile.
 
Sisi watu weusi matatizo.
Bado.chembechembe za tabia za wanyama hazijaisha.

tukiludi kwenye ajenda yako.

Tatizo kubwa hapa ni elimu ya haya mambo.

Serkali haitaki kuwapa elimu wasimamizi wa maandamano na wanaoandamana.

Kwanza wakuu wa mikoa,wakuu wa wiraya na wenyeviti wa vijiji wangekua wanatoa elimu za mala kwa mala kuhusu maana ya maandamano,faida zake na hasara zake.

Mtu anaetaka kuandamana anatakiwa aweje na vitugani hapaswi kuvikiuka/ kuvifanya wakati anaandamana.

Na police vilievile wapewe elimu kuhusu usimamizi wa mandamano .

Lakini kwa hapa kwetu mwandamanaji hana elimu ya uandamanaji na wala hajui maana ya maandamano yenyewe.

Askari nae ndio kabisaa.
Akiambiwa kuna maandamano ndio hakilia yake inamtuma kutafuta bunduki iliko anasahau anaemshikia bunduki ni mtanzania mwenzake usikute anachodai nayeye labda kingemsaidia kwa baadae.

Muandamanaji nae akiambiwa kunamaandamano basi wabeba mawe,mataili ,magogo,wakifika barabarani miundombinu inahalibiwa ,ukikutwa na genge lako la mboga linavulugwa na kuchukua vilivyomo.

Lakini yoote hayo,
ASKARI NDIO ANATAKIWA KUWA SMART KULIKO RAIA KATIKA KUTATUA MATATIZO.

lakili usishangae ukamuona askari kachafuka manyota begani lakini kitu atachofanya hadi utashangaa.
Mwisho wa siku nahitimisha kwa kusema tuna safari ndefu sana kama nchi..... Hivi sijuhi kwa nini hatutaki kujifunza kwa wenzetu ... Tunaendeshwa kwa mihemko ya wanasiasa.
Yaani vyombo vya usalama visipobadilika kwa kweli vitaendelea kutumika kulipiza visasi kwa niaba ya waliopo madarakani..so sad
 
Saaalam wana jf!

Ndugu zangu, nimefuatilia maandamano nchini marekani ninejifunza jambo kubwa sana, mpaka nikajiuliza kwanini sisi tanzania?

Kwanza nikamtathimini Trump, kwa amri ya kutumia polisi kuzima maandamano kisha jeshi.
Nikaona hakuna tofauti na nchi yetu kwa sasa.
Kila kitu jeshi,nikajiuliza nini maana yake, (mwenye jibu tafadhari).

Cha tofuati nichokiona na kujifunza, polisi na jw wa marekani hawapigi watu, hawahoji watu barabarani, hawatishi kabisa,hatumii maji ya kuwasha,hatupi mabomu ya machozi

Ingelikuwa ni hapa kwetu wafu wangekuwa wengi kwelikweli zaidi ya vifo vya covid19,majeruhi hospital zingejaa nako wangeambiwa wasitibiwe atakayewatibu kazi hana.

Nikalinganisha na wakati wa mgogoro gas ya mtwara, chinga waligogwa mpka wakaacha ndoa zao wakawa walala maporini.

Wakati wa korosho mwaka jana, wakulima walizikimbia korosho, watu walikimbia mashamba yao, kisa mikwara vitisho vya jw wa tz.

Nikajiuliza ivi sisi ni watu au wanyama?
Kama ni watu mbona utashi wetu ni kama wanyama?

KUNA SIKU VIONGIZI WETU NA MAJESHI YETU YATASTAABIKA KWELI!!

Jw wa marekani,wangekuwa wataka sifa wangejipendekeza kwa trump,lakini hawajafanya hivyo,hata yule polisi aliyemsukuma raia,polisi wenzie walimtia nguvuni palepale.
AMA.KWELI TANZANIA MMH!!!
Tutayaona mwaka huu kwenye uchaguzi
Karibuni povu ruksa
Kwamba polisi wa Marekani hawatishi watu, kwani Polis aliyeua raia huko US ni wa nchi gani?
 
Saaalam wana jf!

Ndugu zangu, nimefuatilia maandamano nchini marekani ninejifunza jambo kubwa sana, mpaka nikajiuliza kwanini sisi tanzania?

Kwanza nikamtathimini Trump, kwa amri ya kutumia polisi kuzima maandamano kisha jeshi.
Nikaona hakuna tofauti na nchi yetu kwa sasa.
Kila kitu jeshi,nikajiuliza nini maana yake, (mwenye jibu tafadhari).

Cha tofuati nichokiona na kujifunza, polisi na jw wa marekani hawapigi watu, hawahoji watu barabarani, hawatishi kabisa,hatumii maji ya kuwasha,hatupi mabomu ya machozi

Ingelikuwa ni hapa kwetu wafu wangekuwa wengi kwelikweli zaidi ya vifo vya covid19,majeruhi hospital zingejaa nako wangeambiwa wasitibiwe atakayewatibu kazi hana.

Nikalinganisha na wakati wa mgogoro gas ya mtwara, chinga waligogwa mpka wakaacha ndoa zao wakawa walala maporini.

Wakati wa korosho mwaka jana, wakulima walizikimbia korosho, watu walikimbia mashamba yao, kisa mikwara vitisho vya jw wa tz.

Nikajiuliza ivi sisi ni watu au wanyama?
Kama ni watu mbona utashi wetu ni kama wanyama?

KUNA SIKU VIONGIZI WETU NA MAJESHI YETU YATASTAABIKA KWELI!!

Jw wa marekani,wangekuwa wataka sifa wangejipendekeza kwa trump,lakini hawajafanya hivyo,hata yule polisi aliyemsukuma raia,polisi wenzie walimtia nguvuni palepale.
AMA.KWELI TANZANIA MMH!!!
Tutayaona mwaka huu kwenye uchaguzi
Karibuni povu ruksa
Mbona wamepigwa sana RAIA wamepigwa sana mabomu ya machozi
 
Back
Top Bottom