Trump Katukosea?

Trump Katukosea?

*Ameandika Edo Kumwembe*
Trump...tofauti kati ya Trump na wazungu wengine ni kwamba Trump sio mnafiki...wazungu wengine pia wanatufikiria sisi kama Trump anavyotufikiria.
Wanatuona ni wajinga, Sema tu huwa hawasemi kama Trump. Yes, Trump kasema kweli sisi ni from shit hole countries.
Ni kweli, kakosea wapi? Kwani hatuoni viongozi wa Afrika na wananchi wake walivyo wanafiki na wasio na upeo wa kufikiri sawa sawa....itazame Tanzania, imezungukwa na kila kitu ndani yake lakini ni maskini.
Kuna nchi za wazungu zimezungukwa na barafu lakini zimetupita utajiri. Na bado Watanzania tunazamia nchi hizo hizo kwenda kusaka maisha na kuacha Madini, bahari, Wanyama, ardhi yenye rutuba nyumbani.
Trump anasema kweli. Tujitazame sisi vizuri, kwa mfano, Kilomita tano kutoka katika migodi kuna shule ya msingi haina Choo cha shimo.
Sawa, utasema wazungu wenyewe wanatuibia, lakini kumbe wanatuibia kwa ujinga wa nani? Kwa ujinga wetu wenyewe ambao umeasisiwa na wale watalaamu wa kusema 'Ndiooooooo' pale Dodoma.
Akina Zitto Kabwe walipambana lakini wakaonekana wapuuzi. Ndio, we are shit hole country kama zilivyo nchi nyingine za Afrika....Trump sio mnafiki.....Dunia nzima inajua kuwa korosho kwao ni wilaya ya Newala Mtwara...lakini mpaka sasa Newala haijaunganishwa kwa Lami na Mtwara mjini.
Una mifano mingapi kama hii kwa kuichunguza Tanzania yako tu?..Trump sio mnafiki...... Nitarudi.
*EDO KUMWEMBE*
 
Trump amewalenga WAAFRIKA jamii ya wafuasi wa chadema wanaopinga juhudi za raisi wetu kutuondoa Kwenye umaskini na rushwa. Isitoshe rais anatetea rasilimali zetu za madini na Maliasili zetu ila wafuasi wa CHADEMA kazi yao kumpinga na kumnyooshea kidole na kumuita dikteta.

Trump endelea kuwapa ukweli WAAFRIKA hawa waovu ili wajitambue.
 
Acheni ujinga nyie sisi ni shit-hollers. Whether you want it or not.
Sema kwa nafsi yako... Kama wewe ni mavi is you do not generalize.

Shithole.... Shimo la taka/mavi...sasa basi kama ameiita africa shithole jiulize wewe ni nani... Binafsi siyo kama umekubali kuwa mavi or shit ni wewe.
 
5f33aff3e16d76d17360e2902f554d78.jpg
 
Kwa niaba ya vijana wa Kiafrika, hususani Tanzania tunao penda kuona tuna heshimiwa, nina laani vikali kauli ya Rais wa Marekani dhidi ya bara la Afrika na Haiti. Kauli yake ni ya kibaguzi na udhalilishaji isiyo kubalika, Tunahitaji kuheshimiwa na kuthaminiwa.
Yamkini ametoa kauli hiyo kutokana na Historia ya viongozi wetu wa Afrika, walio jaa tamaa za madaraka, wanao kiuka misingi ya demokrasia, wanao fadhili mauwaji, wala rushwa, viongozi wasio wajibika nk ila ni vema ange toa nini kifanyike kwa hao viongozi .

Nini Maoni Yako?

Ndimi Noel Shao

[HASHTAG]#mjenziWaTanzaniaMpya[/HASHTAG]
Pinga kwa vitendo, kwani kaongea uongo? "You are good at sex only" poor Africa
 
SHIT HOLE safiiii sanaaaa BIG UP TRUMP umeyachana live DICTATORS OF AFRICA CONTINENT narudia tena All African Leaders are SHIT HOLES by TRUMP, NAPATA RAHA SANA NGOJA NIMALIZIE SHIMHWAAAAAA INA STIM BALAA TO THIS WEEKEND
 
*Ameandika Edo Kumwembe*
Trump...tofauti kati ya Trump na wazungu wengine ni kwamba Trump sio mnafiki...wazungu wengine pia wanatufikiria sisi kama Trump anavyotufikiria.
Wanatuona ni wajinga, Sema tu huwa hawasemi kama Trump. Yes, Trump kasema kweli sisi ni from shit hole countries.
Ni kweli, kakosea wapi? Kwani hatuoni viongozi wa Afrika na wananchi wake walivyo wanafiki na wasio na upeo wa kufikiri sawa sawa....itazame Tanzania, imezungukwa na kila kitu ndani yake lakini ni maskini.
Kuna nchi za wazungu zimezungukwa na barafu lakini zimetupita utajiri. Na bado Watanzania tunazamia nchi hizo hizo kwenda kusaka maisha na kuacha Madini, bahari, Wanyama, ardhi yenye rutuba nyumbani.
Trump anasema kweli. Tujitazame sisi vizuri, kwa mfano, Kilomita tano kutoka katika migodi kuna shule ya msingi haina Choo cha shimo.
Sawa, utasema wazungu wenyewe wanatuibia, lakini kumbe wanatuibia kwa ujinga wa nani? Kwa ujinga wetu wenyewe ambao umeasisiwa na wale watalaamu wa kusema 'Ndiooooooo' pale Dodoma.
Akina Zitto Kabwe walipambana lakini wakaonekana wapuuzi. Ndio, we are shit hole country kama zilivyo nchi nyingine za Afrika....Trump sio mnafiki.....Dunia nzima inajua kuwa korosho kwao ni wilaya ya Newala Mtwara...lakini mpaka sasa Newala haijaunganishwa kwa Lami na Mtwara mjini.
Una mifano mingapi kama hii kwa kuichunguza Tanzania yako tu?..Trump sio mnafiki...... Nitarudi.
*EDO KUMWEMBE*
Yes.. If u are a real black Marxist.. I think you know how he argued about his theory of social development... Yes we are poverty..but who is behind our poverty and who caused it...

In fact are those whites who in turn are calling our continent shithole... Trump is very insane
 
SHIT HOLE safiiii sanaaaa BIG UP TRUMP umeyachana live DICTATORS OF AFRICA CONTINENT narudia tena All African Leaders are SHIT HOLES by TRUMP, NAPATA RAHA SANA NGOJA NIMALIZIE SHIMHWAAAAAA INA STIM BALAA TO THIS WEEKEND
hakusema African leaders, yy kasema wote ikiwemo mm na ww!
 
Sema kwa nafsi yako... Kama wewe ni mavi is you do not generalize.

Shithole.... Shimo la taka/mavi...sasa basi kama ameiita africa shithole jiulize wewe ni nani... Binafsi siyo kama umekubali kuwa mavi or shit ni wewe.
Acha hizo shit holler, kwani kaongea uongo
 
Ko
Kwa niaba ya vijana wa Kiafrika, hususani Tanzania tunao penda kuona tuna heshimiwa, nina laani vikali kauli ya Rais wa Marekani dhidi ya bara la Afrika na Haiti. Kauli yake ni ya kibaguzi na udhalilishaji isiyo kubalika, Tunahitaji kuheshimiwa na kuthaminiwa.
Yamkini ametoa kauli hiyo kutokana na Historia ya viongozi wetu wa Afrika, walio jaa tamaa za madaraka, wanao kiuka misingi ya demokrasia, wanao fadhili mauwaji, wala rushwa, viongozi wasio wajibika nk ila ni vema ange toa nini kifanyike kwa hao viongozi .

Nini Maoni Yako?

Ndimi Noel Shao

[HASHTAG]#mjenziWaTanzaniaMpya[/HASHTAG]

Maoni yangu Trump yupo sahihi kabisa! Umetaja jina ila hujaweka namba ya simu mkuu, wenzio wanaweka lakin!!
 
kama ni nyoka basi trump kapiga kichwani .
 
Trump akili zake zipo matakoniii.... Tena pembeni pembeni... Kwan Obama asili yake wapi... Anaogopa watu weusi si unajua wazungu watoto wa mama waoga waoga...

Trump hana akili ata kidogo kama Obama n black bac marekani nayo ni ya kisengee mbona iliongozwaaa na mtu mweusi... Time hii hakuna kucheka na musengeee ata akiwa Trump au awe nani...

Wamejitaidi tu Tecno akili zao nao pia huwa ni mgandooo tu... Sema hatuna uwezo kiuchumi tu ila tungekua nao hao tungewaonesha...

Serikali ndo iangalie tusije gombana wenyew kwa wenyew full stop
 
Tena katuita jina zuri....km raia wa wanyonge anaweza kuingia madarakani kitu cha kwanza kufanya ni kuwajengea wanyonge uwanja wa ndege chato!!!...pengine tunstahili jina baya zaidi ya hilo cjui tuiywe tz asshole country??!!
haahaha msema kweli ni mpenzi wa mungu
 
Alicho zungumza ni sahihi, tena kawa wekea na vivid examples kabisa bado hamtaki tuu!!!

Solution ni Mungu kuleta gharika kuu tena zaidi ya lile la Noah, TUANZE upya.

Kung’oa mti au nyasi pasipo kuacha kamzizi ata kamoja ni ngumu sana, izi tabia za viongozi walio pita zilisha lithishwa tayari
 
kama ni nyoka basi trump kapiga kichwani .
Kapiga kweli. Maana badala ya kujadili kwa kina namna ya kupambana na mapungufu yetu tunataka kupambana na Trump. Hapa tuumeze ukweli mchungu na kuufanyia kazi kisawasawa hadi wanao tudharau kwa sauti au kimyakimya waishiwe pumzi.
 
Trump amewalenga WAAFRIKA jamii ya wafuasi wa chadema wanaopinga juhudi za raisi wetu kutuondoa Kwenye umaskini na rushwa. Isitoshe rais anatetea rasilimali zetu za madini na Maliasili zetu ila wafuasi wa CHADEMA kazi yao kumpinga na kumnyooshea kidole na kumuita dikteta.

Trump endelea kuwapa ukweli WAAFRIKA hawa waovu ili wajitambue.
Huyo unaempenda atakutia kidole siku moja..atuondoe kwenye kwa mkakati upi ambao wapinzani wanaupinga.anza uzwazwa boya wewe.
 
Back
Top Bottom