Trump Katukosea?

Trump Katukosea?

Noel Shao

Member
Joined
Jan 19, 2017
Posts
89
Reaction score
185
Kwa niaba ya vijana wa Kiafrika, hususani Tanzania tunao penda kuona tuna heshimiwa, nina laani vikali kauli ya Rais wa Marekani dhidi ya bara la Afrika na Haiti. Kauli yake ni ya kibaguzi na udhalilishaji isiyo kubalika, Tunahitaji kuheshimiwa na kuthaminiwa.
Yamkini ametoa kauli hiyo kutokana na Historia ya viongozi wetu wa Afrika, walio jaa tamaa za madaraka, wanao kiuka misingi ya demokrasia, wanao fadhili mauwaji, wala rushwa, viongozi wasio wajibika nk ila ni vema ange toa nini kifanyike kwa hao viongozi .

Nini Maoni Yako?

Ndimi Noel Shao

[HASHTAG]#mjenziWaTanzaniaMpya[/HASHTAG]
 
Kwa niaba ya vijana wa Kiafrika, hususani Tanzania tunao penda kuona tuna heshimiwa, nina laani vikali kauli ya Rais wa Marekani dhidi ya bara la Afrika na Haiti. Kauli yake ni ya kibaguzi na udhalilishaji isiyo kubalika, Tunahitaji kuheshimiwa na kuthaminiwa.
Yamkini ametoa kauli hiyo kutokana na Historia ya viongozi wetu wa Afrika, walio jaa tamaa za madaraka, wanao kiuka misingi ya demokrasia, wanao fadhili mauwaji, wala rushwa, viongozi wasio wajibika nk ila ni vema ange toa nini kifanyike kwa hao viongozi .

Nini Maoni Yako?

Ndimi Noel Shao

[HASHTAG]#mjenziWaTanzaniaMpya[/HASHTAG]
Unataka maoni yangu?

Kwanza kati ya hao Vijana unaowawakilisha mimi nitoe, binafsi nampongeza Trump kwa kauli yake, huwezi kuwa na dhahabu, almasi, maliasili za kila aina halafu kesho unaenda kwa Trump kuomba net ya mbu na kondom mimi sio tu nakuita shithole nakutimua.

Yaani unataka Trump aje atuambie nini tufanye? kweli?
atuambie kuheshimu Katiba?
atuambie tuheshimu demokrasia?
awaambie viongozi kufuata utawala wa sheria?
atuambie kulinda maliasili zetu?
atuambie kuingia mikataba mizuri ya madini?
atuambie kujenga shule na hospitali? Kweli?halafu mkiambiwa shithole countries mnakasirika.

Hongera Trump kama una neno jingine kali zaidi ya hilo waambie viongozi wetu labda akili zitawarudi nakuhakikishia hawana ubavu wa kukufanya lolote zaidi ya kukubembeleza uombe RADHI.
 
Trump yuko sahihi kwa 100%.Yupo kwake anawagombeza maHB na maHG wake kuruhusu wageni wachafu kuingia nyumbani kwake hata ukinuna haisaidii.Kama unaamini we sio mchafu zila usende kwake na kama kweli we ni mchafu jisafishe ili akukalibishe kwake.
 
Kwa niaba ya vijana wa Kiafrika, hususani Tanzania tunao penda kuona tuna heshimiwa, nina laani vikali kauli ya Rais wa Marekani dhidi ya bara la Afrika na Haiti. Kauli yake ni ya kibaguzi na udhalilishaji isiyo kubalika, Tunahitaji kuheshimiwa na kuthaminiwa.
Yamkini ametoa kauli hiyo kutokana na Historia ya viongozi wetu wa Afrika, walio jaa tamaa za madaraka, wanao kiuka misingi ya demokrasia, wanao fadhili mauwaji, wala rushwa, viongozi wasio wajibika nk ila ni vema ange toa nini kifanyike kwa hao viongozi .

Nini Maoni Yako?

Ndimi Noel Shao

[HASHTAG]#mjenziWaTanzaniaMpya[/HASHTAG]
Hamuwezi kuheshimiwa mkuu ikiwa ninyi wenyewe kwa wenyewe hamuheshimiani
 
Sasa kwa mfano uongozi wa Tanzania wa magufuri... Ni mfano dhahiri wa Tanzania kuwa shithole
 
ANAYEIKUBALI KAULI HII AJIANGALIE YEYE MWENYEWE KWANZA
 
Alipunguza makali ya sentesi, ilitakiwa aseme 'rotten shithole'!, uvundo wake ukikaribia tumbo linaunguruma. Uozo wa uroho wa madaraka, ufisadi, mauaji ya kisiasa, katiba za ajabu, kupora mali asili, mikataba mibovu, taasi legelege nk nk!
 
Tena katuita jina zuri....km raia wa wanyonge anaweza kuingia madarakani kitu cha kwanza kufanya ni kuwajengea wanyonge uwanja wa ndege chato!!!...pengine tunstahili jina baya zaidi ya hilo cjui tuiywe tz asshole country??!!
 
Back
Top Bottom