Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,273
Trump calls Sadiq Khan 'stone cold loser' - BBC News
A spokesman for Sadiq Khan said the "childish insults should be beneath the US President".
www.bbc.co.uk
... na ni mhamiaji kutoka Pakistan.Kumbuka Khan ni ethinc minority pia ni Mayor wa jiji kubwa.
"stone cold loser" Sky ndiyo nini?Kumbuka Khan ni ethinc minority pia ni Mayor wa jiji kubwa.
Unamaanisha hili jiwe letu la hapa bongo?Ninadhani amemaanisha yupo kwenye position yake kama jiwe hana effect katika kupambana na crime in London.
Khan kwa kweli ni biggest loser. Anashindana na Trump wakati mwenzake kapewa heshima zote na Qeen hadi Obama anashangaa! Kinachoendelea kwenye ziara ya Trump UK ni kile Stormfront wanaita "White Pride World Wide"Trump calls Sadiq Khan 'stone cold loser' - BBC News
A spokesman for Sadiq Khan said the "childish insults should be beneath the US President".www.bbc.co.uk
View attachment 1117192
Sijui Harry atakua anajisikiajeKhan kwa kweli ni biggest loser. Anashindana na Trump wakati mwenzake kapewa heshima zote na Qeen hadi Obama anashangaa! Kinachoendelea kwenye ziara ya Trump UK ni kile Stormfront wanaita "White Pride World Wide"
Haishangazi Trump kamuita Meghan "nasty" na wazungu wamechukulia poa tu
Itakuwa anamaanisha kuwa mayor sadiq khan hamuwezi Stone cold(steve Austin) wa marekani, wakikutana na bwana austin atapoteza ndio maana ya kumwambia mayor saiq khan kuwa " a stone cold loser"Sadik toka aanze kuwatetea mashoga amekuwa mjinga mi nimempuza pia km Trump
Khan kwa kweli ni biggest loser. Anashindana na Trump wakati mwenzake kapewa heshima zote na Qeen hadi Obama anashangaa! Kinachoendelea kwenye ziara ya Trump UK ni kile Stormfront wanaita "White Pride World Wide"
Haishangazi Trump kamuita Meghan "nasty" na wazungu wamechukulia poa tu
Anavumilia tu hana namna😂Sijui Harry atakua anajisikiaje
Na Trump mhamihaji toka Scotland na mke wake akiwa Mslovenia. Halafu wanajiita Wamerekani... na ni mhamiaji kutoka Pakistan.
... nili-comment humu kipindi kile cha michakato ya kuoana kwao; sikueleweka zaidi ya kuambulia matusi. Ndio hayo yanayotokea leo.Hii ndoa nina mashaka kudumu kwake, royal family hawa mpendi Meghan.
Asipotetea mashoga watamtoa madarakani