Walio anzisha JamiiForums ni positive great thinkers,Dah basi pole aisee jamaa naona ana watu wengi anao watag labda anapitiwa ila sio kesi mbona kuna online libraries kibao na Novel nyingi tu za mambo haya unaweza soma
Sasa huo u hater uko wapi ? Yaani kupishana mawazo imekuwa tabu ? Kwa hiyo kuandika hicho kingereza umeona unanikomoa sio ? Hivi sio mimi niliyekuwa nafurahia mahusiano yenu na kuwatikia kila la kheri kadri niwakutapo ? Yaani ni hate nini kwa mfano ,ni kipi cha ajabu ulicho kuja nacho kwenye hizo makala ? Au unafikiria hazipatikani kwingine kwamba kila mtu anategemea The bold wa jf ndio alete ?Hey Mr. Hater, no one invited YOU..
Sceptic!
Kwani wewe unacho kifanya ni sahihi ? Mfano ile operation ya neptune spear ulivyo ileta humu ,uliandika wewe au uli copy kazi za wengine ?Kwahiyo umetumia akili zako zote Mungu alizokujalia na umeconclude kitu anachofanya huyu bwana ni sahihi?? So sad..
ok,nilikuwa naipita thread yako ya kipepeo,leo nikaona niingie nikacheki first post pale,kumbe umegeuza njia ya kujipatia kipato,Kama ni kitu rahisi tu kwamba ati The Bold "anatafsiri tu" ni vyema mkanfanya hivyo na nyinyi sio kukopi alichoandika The Bold..
Eti "anatafsiri tu" hahahahahahah binadamu bhana..
Asante Mzee msekwa kwa huu msemo; "kuna watu wana wivu wa kike"
Nashangaa huyu jamaa ,utafikria Jf ya kwake ,muone Melo alivyo humble alafu mtu unakuja na vi story watu waki ku challenge unaishia kudharau kisa umesifiwa sana kichwa kimekuwa kikubwa unaanza kuongozwa na mihemko badala ya busaraWalio anzisha JamiiForums ni positive great thinkers,
Maana walikuwa na ndoto ya kuwaunganisha watu wote bila kujali utofauti wao kwa lengo la kujifunza na kushea habari.......Hawatofautiani sana na wale African Elites.
Si lazima tukubaliane wote kwenye mada zote zitakazoletwa hapa, lakini kikubwa ni kwamba kupitia JF watu wote wanaopingana ama kukubaliana jambo wameunganishwa.
Sasa leo mtu anakuja kuleta mgawanyo wa wajumbe kwa vitu vidogo kama vile vistori vya kutafsiri kutoka google.....Eti kuna kakikundi ka wajumbe ndo watakaohusika tu.
Kuna watu kama wangekuwa wamiliki/waanzilishi wa JF, kungekuwa na kiingilio na ada za kila mwezi kwa members wote. Uzuri ni kwamba akili siyo makalio kila mtu awe nazo, zinaangukia penye utu.
Hebu kuwa open minded halafu uone kama hii mada ina nguvu ya kumtoa mtu povu kama siyo gubu na kuwa akili za kiubinafsi?
Hey Mr. Hater, no one invited YOU..
Sceptic!
Such a shame. Tumezowea ku forward forward tu vitu. Sijui ili tuonekane tunajua.
Huyu kaiba article ya mwenzie na hapo ukimuuliza in depth hana maelezo yeyote.
Small minds are such a pain in the ass.
Hahahaaa ndo ivo mkuu, watu wanatengeneza interests hata sehemu isiyokuwa na umuhimu, eti wanatumia fursa.......Hizo story za google awatafsirie hao hao aliowateka na wasio na uwezo wa kuzisoma kutoka vyanzo vingine.Nashangaa huyu jamaa ,utafikria Jf ya kwake ,muone Melo alivyo humble alafu mtu unakuja na vi story watu waki ku challenge unaishia kudharau kisa umesifiwa sana kichwa kimekuwa kikubwa unaanza kuongozwa na mihemko badala ya busara
Mademu wa jf washampa kichwa huyu ndio maana unaona dharau kibao ,si unaona hata waliomtag humu wengi wao ni wanawake waliopo kwenye hilo group lakeAaah, Mkuu The Bold tunafikaje huko tena?
Mbona Yamakagashi kaongea kwa uzuri tu?
Naamini hakuwa na nia yoyote mbaya.
Uandishi ni arts MkuuNawasamehe bure tu.. Hawa watu wanakwaza sana aisee..
Wao na wenzao wote wanaowatetea nawasamehe bure!! Ila uhuni haujawahi kumsaidia mtu, ukiendekeza uhuni utapata rewards za kihuni..
Uzuri mimi ni mtu imara sana! Wahuni wachache kama huyu na wenzake hawawezi kuniyumbisha..
Ndihbalemaaaaa (tutawashinda)
Dah huyu jamaa nilikuwa nimpa nafasi kubwa sana ya heshima ,unapewa Challenge kidogo unakuwa kama mwanamke bwana ,feelings za nini au anaye tumia hii ID yake ni Nifah ?Hahahaaa ndo ivo mkuu, watu wanatengeneza interests hata sehemu isiyokuwa na umuhimu, eti wanatumia fursa.......Hizo story za google awatafsirie hao hao aliowateka na wasio na uwezo wa kuzisoma kutoka vyanzo vingine.
Halafu bila aibu kabisa anatokwa povu,.........huyu jamaa kajiondolea credibility aliyokuwa nayo.
Ngoja niwashtue wikipedia sasa waje kukukamata!Nimemsahe bure yeye na wenzake wanaomtetea! Hii ni moja ya sababu kwanini nimepunguza kuweka makala huku JF.. Wao ni mafundi wa kubeza tu.. Huyu aliyepost huu uzi ni muhuni na narudia tena, am going to get you sooner or latter..
Hahahaaaha dah!..........Usimlaumu sana, pengine hivyo vijistori ndio ndoano ya kuvulia samaki.Dah huyu jamaa nilikuwa nimpa nafasi kubwa sana ya heshima ,unapewa Challenge kidogo unakuwa kama mwanamke bwana ,feelings za nini au anaye tumia hii ID yake ni Nifah ?
ok,nilikuwa naipita thread yako ya kipepeo,leo nikaona niingie nikacheki first post pale,kumbe umegeuza njia ya kujipatia kipato,
sio mbaya nawe wajitafutia,
anyway mimi binafsi sisomagi story zako kwani kwangu hizo infor unazoweka sio kitu kigeni na siwezi poteza mda kurudia kusoma kitu ambacho nina taarifa nacho.
Time is money,
ila hongera kwa kubuni njia ya kujipatia kipato mkuu
Ndio yale yale unayosema kila siku........kuwa kuna baadhi ya watu wapo humu kujitafutia credit za KE.Mademu wa jf washampa kichwa huyu ndio maana unaona dharau kibao ,si unaona hata waliomtag humu wengi wao ni wanawake waliopo kwenye hilo group lake