Wacha tuangalie Mungu yupi hasiye na upendo na mbaguzi hasa! Tusome hii At-tawbah 9:123. "Enyi mlio amini! Piganeni na wale makafiri walio karibu yenu, na wakute ugumu kwenu. Na jueni ya kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wacha- Mungu."
Allah anawapendelea walio amini na anawaagiza waislamu wawapige makafiri walio karibu. Hiyo ina maana kubagua na kuwapiga pia. Allah hataki kafiri awe karibu na walio amini.(waislamu) Je huyu Allah si mbaguzi wa kupindukia?
Lakini leo waislamu hao hao wanavamia kuishi nchi za wakristo na wanakaribishwa. Nchi za kiislamu ambazo tajiri kama Dubai, Saudi Arabia na Kuwait hawataki kusaidia wala kupokea wakimbi wa kiislamu wenzao wakati inawaambia jinsi ya kuwa treat wahamiaji(wakimbizi)
Tusome Al-Hashr 59:9."Na walio na maskani zao na Imani yao kabla yao, wanawapenda walio hamia kwao, wala hawaoni choyo katika vifua vyao kwa walivyo pewa (Wahajiri), bali wanawapendelea kuliko nafsi zao, ingawa wao wenyewe ni wahitaji. Na mwenye kuepushwa uchoyo wa nafsi yake, basi hao ndio wenye kufanikiwa."
Qur'an inafundisha waislamu wawapige walio hamia kwao, lakini kinyume chake waislamu hasa wa Saudi Arabia, Kuwait na Dubai hawataki hati kuwasikia wakimbizi!
Je huo ndiyo uislamu wanaotutangazia kila kukicha mpaka saa 11 za usiku kuwa ni dini ya upendo?
Na tukichungulia katika Al-baqara 2:43
"Na shikeni Sala, na toeni Zaka, na inameni pamoja na wanao inama." Hapo tunaona jinsi gani nchi za waislamu zinakwenda kinyume kwa kutosaidi na kutoinama pamoja na wenzao wenye kutaka kuifadhiwa kutokana na vita ingawa wana imani moja!
Mungu wa wakristo anafundisha kumpenda adui yako ndiyo maana waislamu wamejazana nchi za wakristo! Lakini Allah anafundisha kumchukia adui yako na kuwabagua ndiyo maana wakristo hawaendi nchi za waislamu na wachache waliokiwepo wanauwawa au kukimbia nchi.