Kama ni hivyo mbona watu wa hizo nchi na wengine wanakasirishwa na zuio la Trump wakati Marekani chini ya Obama imeidhinisha ndoa za mashoga? Nilitegemea nchi za kiarabu kufurahia na kuunga trump mkono ila inaonyesha wanahamu ya kuingia marekani! Unafiki mtupu kwenye hii dunia. Bush kavamia Iraq nimemlaumu sana, Obama kavamia Libya tumempongeza. Unafiki mkubwa huukwani matendo ya waisrael(mashoga) hamuyajui?