Kwakweli..Hivi uwe President of American State. huwezi kuwa mnyonge jamaa yangu, even you were you.
Bila ya kuikomalia hasa Rwanda vita hii haitaisha baina ya DRC na Rwanda hawa M23 wanapigana a proxy WAR ie wanatumika kama tool tu!!Anawaambia Congo na Rwanda ole wenu atakaekiuka mkataba huu. Hii ni baada ya kuwasainisha mkataba. Trump ana dharau mpaka anakera.
Dada humu wanaruhusu kiswahili, sio lazima kiingereza!Hivi uwe President of American State. huwezi kuwa mnyonge jamaa yangu, even you were you.
Sasa M23 watapata nguvu kama sponsor wao kabanwa!?Bila ya kuikomalia hasa Rwanda vita hii haitaisha baina ya DRC na Rwanda hawa M23 wanapigana a proxy WAR ie wanatumika kama tool tu!!
kugongewa mke ukajua na kuwekewa vikwazo kiuchumi na US ,sikiaga kwa wezakoHivi uwe President of American State. huwezi kuwa mnyonge jamaa yangu, even you were you.
Kwenye kampeni zake alikuwa akisema Peace through strength. Ndiyo hiyo sasa.Anawaambia Congo na Rwanda ole wenu atakaekiuka mkataba huu. Hii ni baada ya kuwasainisha mkataba. Trump ana dharau mpaka anakera.
And technologyMoney+Power+Respect
Hawa viongozi wetu wa africa bila mikwara hawaendi ni kama sisi pia wanavyotupiga mikwara na wao ni hivyohivyo..Anawaambia Congo na Rwanda ole wenu atakaekiuka mkataba huu. Hii ni baada ya kuwasainisha mkataba. Trump ana dharau mpaka anakera.
Mataifa dhaifu tena. Duniani kuna nchi ngapi na hizo nchi jasiri ni ngapi, si nne tu!: China, Urus, Iran na Korea Kaskazini ambazo zinajitutumua. Zilizobaki zote zinatikiswa vizuri tu Marekani. Hata nchi za Ulaya hazifurukuti kwa Marekani sembuse nchi za Kiafrika!Huyo ni mbabe kwa mataifa dhaifu hawezi kufanya huo dharau na ujinga wake kwa mataifa kama Russia au China
Hata China na Russia zinaweza lakini hazina huo ulimbukeni wa TrumpMataifa dhaifu tena. Duniani kuna nchi ngapi na hizo nchi jasiri ni ngapi, si nne tu!: China, Urus, Iran na Korea Kaskazini ambazo zinajitutumua. Zilizobaki zote zinatikiswa vizuri tu Marekani. Hata nchi za Ulaya hazifurukuti kwa Marekani sembuse nchi za Kiafrika!
Ndio Mojawapo Katika "Power"And technology
Even you were you-nimeielewa sana hii hahahhaHivi uwe President of American State. huwezi kuwa mnyonge jamaa yangu, even you were you.
Even if it were you uwe unaandika hivyo au sioEven you were you-nimeielewa sana hii hahahha