MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,727
- 37,031
Tafuta hela
Viongozi wa Drc na Rwanda wamesalimisha nchi zao kwa mabeberu.Anawaambia Congo na Rwanda ole wenu atakaekiuka mkataba huu. Hii ni baada ya kuwasainisha mkataba. Trump ana dharau mpaka anakera.
Mwalimu umepigaje hapa? Hii si ni English ya darasani kabisaeven you were you.
Utajua hujuiMwalimu umepigaje hapa? Hii si ni English ya darasani kabisa
Ebu tupe mfano Russia atatumia mbinu kumtishia nyau mtu hapa duniani maana Mimi naona hana mfumo wa kidunia anaoumiliki mpaka watu wamwogope hata China vilevile hana lolote la kulitisha taifa lolote na likatii kama afanyavyo mbabe MarekaniHata China na Russia zinaweza lakini hazina huo ulimbukeni wa Trump
Ebu tupe mfano Russia atatumia mbinu kumtishia nyau mtu hapa duniani maana Mimi naona hana mfumo wa kidunia anaoumiliki mpaka watu wamwogope hata China vilevile hana lolote la kulitisha taifa lolote na likatii kama afanyavyo mbabe Marekani
Kamwambia Musk arudi kwao sauziAnawaambia Congo na Rwanda ole wenu atakaekiuka mkataba huu. Hii ni baada ya kuwasainisha mkataba. Trump ana dharau mpaka anakera.
Ndo utwambie China ana ubavu hata wa kumchimba mkwara Tanzania!? Atamtisha kwa kipi asichoqeza kukipata kwingine!? Achilia mbali takataka RussiaChina ina nguvu za kiuchumi na Russia nguvu ya kijeshi ila hawana ulumbukeni wa kuzitreat nchi nyingine kama mwendawazimu Trump anavyofanya
Halafu hapo Congo wanalipia madini yao, huo upatanisho sio bure.Anawaambia Congo na Rwanda ole wenu atakaekiuka mkataba huu. Hii ni baada ya kuwasainisha mkataba. Trump ana dharau mpaka anakera.
Kwa nini asiwe nao, unafikiri mama yake Lucas Mwashambwa anapata wapi nguvu ya kuzisema nchi za Marekani na Ulaya majukwaaniNdo utwambie China ana ubavu hata wa kumchimba mkwara Tanzania!? Atamtisha kwa kipi asichoqeza kukipata kwingine!? Achilia mbali takataka Russia
Achangamshe na huku tulikolala.Kwenye kampeni zake alikuwa akisema Peace through strength. Ndiyo hiyo sasa.
Mlisema Joe Biden atoke, Trump aingie ili dunia ichangamke. Haya sasa kazi kwenu!
Huyo tushaachana nae uwezo wake ni mdogo sanaKwa nini asiwe nao, unafikiri mama yake Lucas Mwashambwa anapata wapi nguvu ya kuzisema nchi za Marekani na Ulaya majukwaani
Sasa utajifunza vipi bila kukosolewa?Dada humu wanaruhusu kiswahili, sio lazima kiingereza!
Even if you were yourself..Even if it were you uwe unaandika hivyo au sio
Hazina ubavu huo, ndio maana wako kimya kwa kutii maagizo na kufuata maelekezo.Hata China na Russia zinaweza lakini hazina huo ulimbukeni wa Trump
Aliwai nena kuwa wa Africa wanatakiwa watawaliwe tena, nazani huu ni mwanzo.Anawaambia Congo na Rwanda ole wenu atakaekiuka mkataba huu. Hii ni baada ya kuwasainisha mkataba. Trump ana dharau mpaka anakera.
Hazina ubavu huo, ndio maana wako kimya kwa kutii maagizo na kufuata maelekezo.