Trump alikuwa anataka apewe Nobel Peace prize

Trump alikuwa anataka apewe Nobel Peace prize

Nenda kwa Trump ukatiwe. Hizo billions wenzako wapo Only fans wanazipata kwa kurusha rusha mataco.
Sasa siumeona akili zako ww taahira wa tandale! Ushoga ndiyo uliopo kichwan kwako.
 
Wamarekani na nyie mnalalamika kuhusu DP! Si mlimchagua wenyewe!

USA baby! 😁
 
Unajua kuna mambo mengine hushangaza sana.

Donald Trump, kuna kipindi muda si mrefu uliopita eti alikuwa anadai anastahili tuzo ya amani ya Nobeli 😂.

Sababu eti ni kwa vile yeye ni mpenda amani na ni mtatuzi wa vita!

Talk about being delusional and total lack of self awareness.

And some people say he is so intelligent.

So intelligent with a very limited vocabulary!
A peace by bullying others.😁

Ile Kamati ya Nobel Prize ingeaibika sana!
 
Rais mwenyewe sio wako na sio wao unaporomosha matusi vipi unaundugu nae? Humu jukwaani tunachangamsha bongo TU hakuna mtu anayehusika na Irani WAla usa na israel na WAla hawajali kama Kuna kima kwenye bala la giza / sheet hole anawashabikia na kuwaombea
 
Ndio Rais wa hovyo Marekani
Leo hii Hadi Vibaraka vyake Kama UK German, Canada nk wanamgomea Live
Hivi wewe unawawekea washirika wako vikwazo,unawatishia kijeshi na unawapiga ushuru wa maana.
Baadae uwasisitize waingie vitani n wewe unadhani watakubali!??
Na hii vita imemvua sana USA nguo,mataifa yaliyobaki yanajituliza kwamba kama Iran amemdindia sisi tushindwe vipi!?
Kila nchi inamdindia hadi SPAIN.
 
Ww hata uzaliwe mara 4000 hutokaa huwe na robo ya uwezo wa trump kiakili.
Kama seneta wa USA alimtusi rais wake na kusema Israel ilisubiri miaka 40 ili ipate rasi wa USA kichaa na mpumbavu vya kutosha kuanzisha vita na Iran,wewe nguruwe mweusi mla mihogo wa hapo kwa limboa ni nani kupinga!??
Inamaana wewe una akili na upembuzi kuliko kina Warren,Murphy na maseneta wengine!?
 
A peace by bullying others.😁

Ile Kamati ya Nobel Prize ingeaibika sana!
Sina hakika kama imewahi kutokea huko nyuma, ila sijawahi kuona mtu akipiga kampeni kutaka apewe hiyo tuzo!

Jamaa hayuko sawa. Ila nawalaumu Democrats.

Walimfungulia kesi uchwara kibao hadi wakmrudisha kwenye chati wakati alikuwa keshaanza kupotea kidogo kidogo.

Matokeo yake kuna watu wakampigia kura za huruma mpaka akashinda tena.

Lawfare yao [Democrats] ilibuma vibaya sana.

Hapo ndo ujue kwenye nchi zenye demokrasia na chaguzi huru, lawfare haifanyi kazi.
 
Kama seneta wa USA alimtusi rais wake na kusema Israel ilisubiri miaka 40 ili ipate rasi wa USA kichaa na mpumbavu vya kutosha kuanzisha vita na Iran,wewe nguruwe mweusi mla mihogo wa hapo kwa limboa ni nani kupinga!??
Inamaana wewe una akili na upembuzi kuliko kina Warren,Murphy na maseneta wengine!?
Huna akili taahira ww! Wapinzan huwa hawakosekani awe wa ndani au wa nnje kupinga kupogo tu! Mfano mdogo tu Magufuli alikuwa kiongoz imara na wapinzan walimpinga na kumuita mshamba na mjinga!! Acha utaahira ww kiazi wa tandale reasoning capacity yako ni sifuri!! Huna kitu kichwan zezeta.
 
Huna akili taahira ww! Wapinzan huwa hawakosekani awe wa ndani au wa nnje kupinga kupogo tu! Mfano mdogo tu Magufuli alikuwa kiongoz imara na wapinzan walimpinga na kumuita mshamba na mjinga!! Acha utaahira ww kiazi wa tandale reasoning capacity yako ni sifuri!! Huna kitu kichwan zezeta.
Wewe ni nguruwe mweusi tu.
Trump hii vita kila mtu kamshangaa na kumgeka.
Hata NATO wenzake wamemgeuka katika hii vita.
Waliomgeuka ni MAJORITY nguruwe wewe.
Inamaana wewe una akili kuliko MAJORITY YA UONGOZI WALIOMPIMGA TRUMP!?
Je Magufuli alikua anapigwa na majority ya watu!??
Nguruwe ni nguruwe tu,mshauri wake mwenyewe alisema na kusisitiza kuwa alimsihi Trump asiingie vitani na mazungumzo yanaenda vizuri haina haja vita italeta hasara. Inamaana wewe una akili kuliko mshauri wake!??
Nguruwe mweusi.
 
Sina hakika kama imewahi kutokea huko nyuma, ila sijawahi kuona mtu akipiga kampeni kutaka apewe hiyo tuzo!

Jamaa hayuko sawa. Ila nawalaumu Democrats.

Walimfungulia kesi uchwara kibao hadi wakmrudisha kwenye chati wakati alikuwa keshaanza kupotea kidogo kidogo.

Matokeo yake kuna watu wakampigia kura za huruma mpaka akashinda tena.

Lawfare yao [Democrats] ilibuma vibaya sana.

Hapo ndo ujue kwenye nchi zenye demokrasia na chaguzi huru, lawfare haifanyi kazi.
Hakika, jamaa sio mzima!

Biden angesema from the beginning kwamba hagombei muhula wa pili, pengine mambo yangekuwa tofauti.
 
hahaha mbona barack huseni obumer alipewa nobel prize na hamhoji? what about yule criminal ahmedi wa ethiopia aliye massacre tigray Christians in etheopia mbona alipewa nobel prize? tofauti ya obama na Trump ni ipi kwenye foreign policies?
 
Unajua kuna mambo mengine hushangaza sana.

Donald Trump, kuna kipindi muda si mrefu uliopita eti alikuwa anadai anastahili tuzo ya amani ya Nobeli 😂.

Sababu eti ni kwa vile yeye ni mpenda amani na ni mtatuzi wa vita!

Talk about being delusional and total lack of self awareness.

And some people say he is so intelligent.

So intelligent with a very limited vocabulary!
Hii kauli yake ilifanya bunge zima Denmark licheke.

View: https://m.youtube.com/shorts/6h0sd66FG9E
 
Aliposhinikiza jina la wizara ya ulinzi ibadilishwe kutoka Department of defence hadi kuwa Department of War, ilikuwa wazi tu kuwa huyu jamaa ni war monger, not a peace lover
 
Wewe ni nguruwe mweusi tu.
Trump hii vita kila mtu kamshangaa na kumgeka.
Hata NATO wenzake wamemgeuka katika hii vita.
Waliomgeuka ni MAJORITY nguruwe wewe.
Inamaana wewe una akili kuliko MAJORITY YA UONGOZI WALIOMPIMGA TRUMP!?
Je Magufuli alikua anapigwa na majority ya watu!??
Nguruwe ni nguruwe tu,mshauri wake mwenyewe alisema na kusisitiza kuwa alimsihi Trump asiingie vitani na mazungumzo yanaenda vizuri haina haja vita italeta hasara. Inamaana wewe una akili kuliko mshauri wake!??
Nguruwe mweusi.
Ww nilichogundua ni zezeta! Siwezi poteza muda na ww.
 
Back
Top Bottom