Trump aitaka Israel kutoendelea na mashambulizi yake dhidi ya Iran

Trump aitaka Israel kutoendelea na mashambulizi yake dhidi ya Iran

The Zanzibar Echo

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2025
Posts
490
Reaction score
836
Rais wa Marekani Donald Trump ameionya Israel kupitia mtandao wake wa kijamii wa Truth Social kutoendelea na mashambulizi yake dhidi ya Iran.

Ujumbe wa Rais Trump ulisomeka: "ISRAEL. MSIDONDOSHE HAYO MABOMU. HATUA HIYO ITAKUWA UKIUKAJI MKUBWA WA MAMLAKA. WAAMBIENI MARUBANI WARUDI NYUMBANI, SASA!" Onyo hilo linakuja baada ya Trump kutangaza mapatano kati ya Iran na Israel, ambayo yalianza kutekelezwa mapema leo asubuhi.

Israel ilisema kuwa imekubaliana na pendekezo hilo, huku Iran ikisema itasitisha mashambulizi pale Israel itakapofanya hivyo.

Jeshi la Israel baadaye lilisema kuwa limenasa kombora lililorushwa na Iran.

Tehran ilikanusha kufanya mashambulizi mapya.
 
Israel hana lolote ye anatumiwa tu kama Ukraine vile, we nchi inapigana vita inaletewa kila kitu na USA afu wakanisa wanakuja na ule wimbo wao eti Taifa teule hahahaha, kwa kutumia mstari aliye ambiwa Yakobo na Mungu. Mstari unasema hivi; Atakaye mdhuru na Mungu atamdhuru wao wakaigeuza Aya hio ni Israel, hiyo nchi fake ilio undwa mwaka 1948 na Uingereza 😄
 
Israel hana lolote ye anatumiwa tu kama Ukraine vile, we nchi inapigana vita inaletewa kila kitu na USA afu wakanisa wanakuja na ule wimbo wao eti Taifa teule hahahaha, kwa kutumia mstari aliye ambiwa Yakobo na Mungu. Mstari unasema hivi; Atakaye mdhuru na Mungu atamdhuru wao wakaigeuza Aya hio ni Israel, hiyo nchi fake ilio undwa mwaka 1948 na Uingereza 😄
Mambo yanaenda kasi sana leo lran amekuwa mtu wa kukanusha kama karusha kombora😂😂 alafu wewe unasema hana lolote!!? 😳 Si mlikuwa mnasema" lsrael kama anaweza arushe hata jiwe lran tuone" Mwamba karusha kweli na kila mtu kaona jinsi alivyokuwa anaingia na kujipigia atakyo muda wowote pale lran mpaka watu tukawa tunajiuliza hivi hii ndio ile lran iliyokuwa inasifiwa hapa JF au lran ya Tandale kwa tumbo au siku ya wajinga dunia imekuwa ya wiki mbili badala ya moja? Sasa sijui tumaini lenu mtaliamishia wapi maana ndio hivyo lran amewaangusha pasipo kutegemea na wana wa Yakobo au taifa teule,hapa ndipo ninapokubaliana na wanaosema amtegemea binadamu amelaaniwa sijui we mwenzangu umelaaniwa?
 
Israel hana lolote ye anatumiwa tu kama Ukraine vile, we nchi inapigana vita inaletewa kila kitu na USA afu wakanisa wanakuja na ule wimbo wao eti Taifa teule hahahaha, kwa kutumia mstari aliye ambiwa Yakobo na Mungu. Mstari unasema hivi; Atakaye mdhuru na Mungu atamdhuru wao wakaigeuza Aya hio ni Israel, hiyo nchi fake ilio undwa mwaka 1948 na Uingereza 😄
Mzee wa pedo naona unajifariji hahahha israel ilifagia uongozi wote wa jeshi la iran na bado unasema wameshindwa!!! ushindi sio kuvunja majengo wewe kobazi
 
20250624_212725.jpg
😄😄
 
We jamaa endelea tu kujifariji wenzio huko hawana hamu na hii mechi maana hali yao ni mbaya na wamepoteza sana, Magenerali wakuu, wanasayansi wa nyuklia,vituo na makambi ya jeshi, viwanda vya siraha, vinu vya nyuklia vyote hivi vimeenda na makombora huku mwanaume akidhibiti anga kama lake alafu wewe unaleta jokes hapa, una akili kweli wewe au unashabikia tu usicho kijua utafikiri tupo kwenye utani wa simba na yanga hapa, nyau wewe!!
 
Mambo yanaenda kasi sana leo lran amekuwa mtu wa kukanusha kama karusha kombora😂😂 alafu wewe unasema hana lolote!!? 😳 Si mlikuwa mnasema" lsrael kama anaweza arushe hata jiwe lran tuone" Mwamba karusha kweli na kila mtu kaona jinsi alivyokuwa anaingia na kujipigia atakyo muda wowote pale lran mpaka watu tukawa tunajiuliza hivi hii ndio ile lran iliyokuwa inasifiwa hapa JF au lran ya Tandale kwa tumbo au siku ya wajinga dunia imekuwa ya wiki mbili badala ya moja? Sasa sijui tumaini lenu mtaliamishia wapi maana ndio hivyo lran amewaangusha pasipo kutegemea na wana wa Yakobo au taifa teule,hapa ndipo ninapokubaliana na wanaosema amtegemea binadamu amelaaniwa sijui we mwenzangu umelaaniwa?
Lakini licha ya usaidizi wa USA taifa teule limechakazwa na wateule wamekimbia nchi yao ya ahadi
 
Lakini licha ya usaidizi wa USA taifa teule limechakazwa na wateule wamekimbia nchi yao ya ahadi
Bora hata Hamas wameonesha uwanaume kwa miaka 3 sasa sio lrani wiki mbili tu chali mcundu mwaaa ***** sasaivi kawa kama demu mwenzake Hizbollah ni mwendo wa kukanusha tu kama kukisikika mlio wa tairi kupasuka Tel Aviv pumbavu zao
 
Bora hata Hamas wameonesha uwanaume kwa miaka 3 sasa sio lrani wiki mbili tu chali mcundu mwaaa ***** sasaivi kawa kama demu mwenzake Hizbollah ni mwendo wa kukanusha tu kama kukisikika mlio wa tairi kupasuka Tel Aviv pumbavu zao
Chali ni Israel iliyoombewa paul na trump cha pili Iran hakuwa na haja na vita Israel ndo aloingia kwenye 18 zake ila kisago alichopata kuwa na wakimbizi zaidi ya million hakutegemea
 
Chali ni Israel iliyoombewa paul na trump cha pili Iran hakuwa na haja na vita Israel ndo aloingia kwenye 18 zake ila kisago alichopata kuwa na wakimbizi zaidi ya million hakutegemea
Bado Hamas wataendelea kuwa afadhali sio huyo mdebwedo wako lran wiki mbili tu chali kudadeki!! Anapumua baada ya cease fire
 
Mzee wa pedo naona unajifariji hahahha israel ilifagia uongozi wote wa jeshi la iran na bado unasema wameshindwa!!! ushindi sio kuvunja majengo wewe kobazi
We nenda kaulize pale Tela Aviv
Mambo yanaenda kasi sana leo lran amekuwa mtu wa kukanusha kama karusha kombora😂😂 alafu wewe unasema hana lolote!!? 😳 Si mlikuwa mnasema" lsrael kama anaweza arushe hata jiwe lran tuone" Mwamba karusha kweli na kila mtu kaona jinsi alivyokuwa anaingia na kujipigia atakyo muda wowote pale lran mpaka watu tukawa tunajiuliza hivi hii ndio ile lran iliyokuwa inasifiwa hapa JF au lran ya Tandale kwa tumbo au siku ya wajinga dunia imekuwa ya wiki mbili badala ya moja? Sasa sijui tumaini lenu mtaliamishia wapi maana ndio hivyo lran amewaangusha pasipo kutegemea na wana wa Yakobo au taifa teule,hapa ndipo ninapokubaliana na wanaosema amtegemea binadamu amelaaniwa sijui we mwenzangu umelaaniwa?
Chui wa karatasi alianzisha vita afu yeye akanza kuomba vita iishe kwa kumuomba America atafute solution na Iran hahaha.

Aliye piga.mwisho ni nani Iran au Israel? Toka mwanzo Iran alisema yeye ndiye atapiga risasi ya mwisho.
 
We nenda kaulize pale Tela AvivChui wa karatasi alianzisha vita afu yeye akanza kuomba vita iishe kwa kumuomba America atafute solution na Iran hahaha.

Aliye piga.mwisho ni nani Iran au Israel? Toka mwanzo Iran alisema yeye ndiye atapiga risasi ya mwisho.
Risasi ya majengo na barabara labda 😂😂 lran imetuangusha shekhe tuwe wakweli hapa 😂😂
 
Risasi ya majengo na barabara labda 😂😂 lran imetuangusha shekhe tuwe wakweli hapa 😂😂
We ukweli huwezi kumeza haya soma nani aliye omba vita kusimama na kuletea gazeti la Israel sio la ulipo zaliwa kondoa


 
Chali ni Israel iliyoombewa paul na trump cha pili Iran hakuwa na haja na vita Israel ndo aloingia kwenye 18 zake ila kisago alichopata kuwa na wakimbizi zaidi ya million hakutegemea
Weweeee leo ndio nimeona vizuri ..........ebana eeeee Israel mwamba.............wale jamaa walikuwa wanakula vyuma wima wima.........kuanzia makao yao makuu ya inchi mpaka jela..........mwamba kawapaka hina kwenye ndevu zao................hakuna cha polisi mahakama makao ya jeshi sijui polisi migambo wala wanasayansi kote kawatia dole kanusa.................nnyaaa nnyaaa tu...........
 
We ukweli huwezi kumeza haya soma nani aliye omba vita kusimama na kuletea gazeti la Israel sio la ulipo zaliwa kondoa


Bora Hamas sio lran aliyetupa taulo mapema, shekhe tukubali tu hatuna tena wa kumtegemea kwa sasa labda tuwageukie Wataleban
 
Weweeee leo ndio nimeona vizuri ..........ebana eeeee Israel mwamba.............wale jamaa walikuwa wanakula vyuma wima wima.........kuanzia makao yao makuu ya inchi mpaka jela..........mwamba kawapaka hina kwenye ndevu zao................hakuna cha polisi mahakama makao ya jeshi sijui polisi migambo wala wanasayansi kote kawatia dole kanusa.................nnyaaa nnyaaa tu...........
Well said 🙏🙏
 
Back
Top Bottom