Ni sawa hakuna cha figisu, democrats wengi walihamasishwa kupiga kura za mail mapema, rejea Ohio na majimbo mengine ambayo walianza kuhesabu mail ballots utaona jinsi Joe alivyokimbiza na mwisho wa siku yaliishia mikononi mwa Trump baada ya kura zote zilizopigwa siku ya uchaguzi kuhesabiwa, Georgia na PA walianzia kura za siku ya uchaguzi zile za mail wakaziweka za mwisho na ndo zenye kura nyingi za Joe, Joe yuko strict sana na issue ya Corona, wapiga kura wake wengi aliwahamasisha wavote mapema kwa mail wasipange mstari.