True story

True story

baraka boki

Senior Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
181
Reaction score
80
Ilikuwa mida ya jana pale jamaa yangu aliponipigia simu nimsindikize akaonane msichana mmoja aliyekutana naye pale Girrafe hotel ambapo jamaa alichukua namba ya huyo msichana wakawa wanachat kama kawaida. Sasa jana ndiyo ilikuwa first date ya kukutana na huyo msichana basi kama kawaida jamaa kachukua gari ya kaka yake kwenda kukutana na huyo msichana basi ile kufika eneo la tukio kumbe msichana naye kaja na gari ya nyumbani kwao bado kidogo jamaa yangu akimbie kwani mfukoni alikuwa na buku sita na alikuwa akiogopa kama msichana akiagiza dompo wine, Savanna sijui ingekuwaje bahati nzuri aliagiza coca cola. Note kumbe siyo kila msichana anashobokea gari wengine yapo mengi tu kwao wanaume wenzangu tuwe makini
 
Ilikuwa mida ya jana pale jamaa yangu aliponipigia simu nimsindikize akaonane msichana mmoja aliyekutana naye pale Girrafe hotel ambapo jamaa alichukua namba ya huyo msichana wakawa wanachat kama kawaida. Sasa jana ndiyo ilikuwa first date ya kukutana na huyo msichana basi kama kawaida jamaa kachukua gari ya kaka yake kwenda kukutana na huyo msichana basi ile kufika eneo la tukio kumbe msichana naye kaja na gari ya nyumbani kwao bado kidogo jamaa yangu akimbie kwani mfukoni alikuwa na buku sita na alikuwa akiogopa kama msichana akiagiza dompo wine, Savanna au santiana sijui ingekuwaje bahati nzuri aliagiza coca cola. Note kumbe siyo kila msichana anashobokea gari wengine yapo mengi tu kwao wanaume wenzangu tuwe makini
ndo kitu gani hicho
 
Mbona nilipoenda kukutana mara ya kwanza na Karucee pale kwenye kale ka mgahawa ka Mary Brown,Mlimani City nilienda na bajaji ya kukodi na mambo yalikuwa poa??

Hahah kudadadeki. Huyu Karucee wa JF au mwingine. Wa JF ukija na kaAltezza kako anakavunja windscreen wallah.
 
Last edited by a moderator:
Hahah kudadadeki. Huyu Karucee wa JF au mwingine. Wa JF ukija na kaAltezza kako anakavunja windscreen wallah.

Huyo huyo na picha yake hii hapa

images
 
mhh hiii fix tupu, Utakuwaje na appointment na demu girraffe alafu ujiamini uende na buku 6 tu?
Pale buffet kwa mtu mmoja ni 25 na ikiwa weekends inakuwa 30 alafu mtu anazuka na buku 6.
 
[TABLE="class: outer_border, width: 500, align: center"]
[TR]
[TD]sijaona logic hapa ya ushobokeaji wa magari. gari ni carrier unit kama ilivyo bajaj au commuter buses nyingine tu![TABLE="class: outer_border, width: 500, align: center"]
[TR]
[TD] kwa jinsi nilivyosoma, inaonekana wewe ndiye uliyeenda kuongeza budget
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ya wawili hao! ulitakiwa tu uondoe msongamano! just imagine, kama kweli huyo dada asingekuwa na kitu, je mngeliweza kutumia shs 6000 watu watatu?... je, angeweza vipi kurudi kwao kama angelikuwa anawategemea ninyi financially?..

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom