Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,196
- 34,502
Hapa umeongea kama DUME vile?
Aisee nimekosa dili. Shida yako ----?
Hapa umeongea kama DUME vile?
Mbona hukukavunja ka bajaji kngu ka kuazima??
Ukienda jela kondoo wako watapotea.
Si ndo maana nikamuuliza anamsemea Karucee yupi? Kaula wa chuya huyo.
Kwani heshima maana yake nini??
[TABLE="class: outer_border, width: 1000, align: center"]
[TR]
[TD]samahani lakini my friend kama nitakuwa nimekuudhi. jambo la msingi ambalo nilitaka tu kukueleza hapa, ni kwamba unajishushia reputatio power mbele za watu.. remember that, hata kama hatujuani kwa sura ama majina, yote tuyaandikayo hapa yana reflect mioyo yetu!
nikuombe radhi tena kama nitakuwa nimeingilia privacy policy zako..! ongea kadri ya uwezo wako, lakini kumbuka, NENO LIKISHATOKA MDOMONI.. UWEZEKANO WA KURUDISHWA HAUPO!.. na waliolisikia, watalikumbuka milele na milele! na hivyo ndivyo watakavyokuelezea mbele za watu wengine!
[/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Bora uwaambie. Mi napiga safari na nyagi yangu afu kanakuja kadudu mtu kanataka nikanunulie Windhoek. Tupa kule ***** zake.[/QUOTu
unapiga mchemsho wa ndizi na kuku maana yake kitu cha
banana na kiroba cha jogoo.
Hahahahaha, umetisha bidada