Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,559
- 45,879
uliponea kanisa gani mkuuni jambo ambalo limetokea kwenye maisha yangu, ni hakika na kweli. Mungu ndiye shahidi wa kwanza katika hili. nitamshukuru Mungu maisha yangu yote, kwasababu alinikumbuka kipindi cha dhidi yangu. Mungu nakupa utukufu wote, Utukufu wako hatochukua mwanadmau yeyote.
nimewashauri watu wachague makanisa ya kwenda, mimi nilipitia makanis amengi, nilitangatanga sana kutafuta msaada, ajabu yake mambo yalipobadilika, wachungaji kadhaa hasa wa makanisa ambayo niliyastukia nikayakimbia, wakaanza kujitangaza kuwa wao ndio wameniombea mimi na mke wangu hadi tukafunguliwa....wengine wakawa wanataka nikatoe sadaka....sasa wachungaji zaidi ya watatu wote kila mtu anavutia kwake kwamba yeye ndiye aliomba nami...ajabu yake wote hao niliwastukia nikawakimbia. kuna imani nyingi sana siku hizi, wengine wamejificha kwenye makanisa ya kilokole kumbe watafuta pesa tu na wanaiba utukufu wa Mungu. nilienda kuwaambia mimi sitoi sadaka kwasababu wao wamesema, nikakata na mawasiliano yao, niliwaambia siwezi kumpa utukufu mwanadamu wakati Mungu amefanya. kamwe sitaiba utukufu wa Mungu kumpa mwanadamu. ndio maana nawaambia chunguzeni pa kwenda, hasa kwa nyakati hizi.
however, ukweli upo palepale, imani yenye wokovu ni imani ya Kilokole tu, na huko ndiko nilitafuta Mungu nikampata. nilitangatanga mwanzoni, lakini nilipopata kanisa halisi, ndipo hapo nilipata nguvu za Roho Mtakatifu mimi na mke wangu na maisha yakabadilika.