TRUE STORY...msinirushie mawe

TRUE STORY...msinirushie mawe

Kama nilishawahi kuwaona sehemu fulani vile ......wewe unampenda mkeo kuliko wanawake wote na huyo mnyarwanda naye anakupenda wewe kuliko wnaume wote! Homgereni sana keep it up!
 
NILIONDOKA HOME, nikaenda kufanya kazi mkoa fulani hapa tz, nimekaa huko kwa muda mrefu. waifu anafanya kazi hapa dsm. ....nimeoa nina watoto. tatizo lilinitokea, nikiwa huko nilikutana na mwanamke mmoja, ni mrefu, mwembamba kidogo ila hips kubwa, ni mzuri ajabu, mamake ni mtutsi babake mchaga wa marangu, mara ya kwanza ilikuwa kama utani, tukaanza urafiki, tukaenda kupima, tukawa negative, tukaanza kutumia ndomu, nilikuwa nakaa lodge hivyo wiki mbili za mwanzo alikuwa anahudhuria kwenye lodge kila siku.

alihamia kabisa, na akaacha kazi, tukawa tunaishi wote kwenye lodge. sikujua ni kitu gani aliona kwangu, sijui nilimfanya vizuri sana ila toka siku ya kwanz anilimwambia mimi nimeoa mke wangu yuko dsm na ni mkali sana na ana wivu, tukawa tunafanya tu.

kati ya miezi karibia sita au saba, tulikaa lodge tofautitofauti, ila tulikuwa tunakaa pamoja. kazi yangu ilikuwa ni ya kufanyia tu ndani ya lodge na kama kwenda ofisini ni kwenda naye pamoja na kuweka doc kwa bos na tunarudi wote, yeye hakutaka kuniacha hata mara moja akiogopa nitamtoroka, ati nitabadilisha lodge na kumkimbia. alinipenda akawa analia usiku machozi ati anatamani kama angekutana na mke wangu akubaliane naye amruhusu awe mke wa pili, atamheshimu sana mke wangu, akawa anajilaumu kwamba ni kwanini mimi niliwahi kuoa kabla sijakutana na yeye?

tukiwa sita kwa sita mara nyingi namuona anatoa mikelele kuwa kwanini nimewahi kabla sijakutana naye, manake angekuwa mke wangu. aling'angá nia kuniita mume na mimi nikawa nakata jina hilo. nilikuwa nashangaa, kwanini mwanamke mzuri hivi analia machozi na yuko serious, hatanii, kwamba anatamani angekuwa mke wangu hata wa pili haingekuwa shida kwake?....mimi ni mwanaume sina sura nzuri najijua, ni nunda mweusi....yeye ana weupe wa kichaga na umbo na sura ya kinyarwanda (mamake alikimbia ile genocide)....babake ni tajiri tu ana bar kibao mwanza pale.

SIKU MOJA TUKIWA TUMEKAA, akaniambia anatamani kama angebeba damu yangu, kwasababu anajua mimi sitamuoa kwani nampenda sana mke wangu kuliko yeye. nilimtisha kuwa mke wangu atakutoa roho ukijifanya kuning'ang'ania...mzuriiii,....nilikuwa makini kuhesabu tarehe siku za mimba na bleed yake,....nimejikuta nimetwika mimba tayari,...ana mimba ya miezi minne sasaivi,...ninahudumia mimba na yeye nampenda ile sitamuoa na nilishamwambia mkataba wetu ni mtoto tu, si yeye...amefurahi sana kubeba damu yangu tumboni mwake...sasaivi amehamia arusha anafanya kazi kule......napigiana naye simu kila siku kabla ya kufika home, ana akili sana, ni mwaminifu sana kati ya mademu niliowaikuwa nao.

najua niliteleza, nilimtenda waifu kosa kubwa...juzi waifu anasali kwa mwingira, aliniamsha saa kumi za usiku akasema ameonyeshwa na Mungu kwenye ndoto kuwa mimi nina mke mwingine, akaniambia yote niliyoyafanya...niliogopa, lakini wkasababu mimi ni mbabe kidogo nilimfokea kwanini ananivurugia usingizi na kwanini ananiambia hivyo, nikapotezea...lakini niliumia moyoni kwanini nilifanya vile...kumtelekeza mwanamke yule na mimba naona sio fresh, pamoja na kwamba anaweza kulea yeye mwenyewe, .......nitaanzaje kumwambia waifu kuwa nina mtoto nje?...waifu ananipenda sana na mimi nampenda kuliko wanawake wote duniani najua tutasameheana lakini pa kuanzia sijui....yule wa arusha na mimba yangu, nashukuru Mungu hatakinukisha.....


Duh! Hii ndyo aina ya wanaume tulio nao karne hii! Ee Mungu uwanusuru wanawake walio kwenye ndoa!
 
Siku ambayo mkeo alisema ameoteshwa ndio ilikuwa siku muafaka ya kumweleza mkeo ukweli wa mambo,na ulikuwa na chance nzuri ya kumzingizia shetani na mkeo kwa kuwa ni mlokole mungekemea pepo mbaya teh teh! sasa umemkatalia siku ukimwambia kazi unayo,ila wakati unamtongoza na kuanza mahusiano na huyo msichana ulikuwa na lengo gani?Tambua kuwa kuna cku mkeo atajua ukweli jipangeeeeeeeh!
 
NILIONDOKA HOME, nikaenda kufanya kazi mkoa fulani hapa tz, nimekaa huko kwa muda mrefu. waifu anafanya kazi hapa dsm. ....nimeoa nina watoto. tatizo lilinitokea, nikiwa huko nilikutana na mwanamke mmoja, ni mrefu, mwembamba kidogo ila hips kubwa, ni mzuri ajabu, mamake ni mtutsi babake mchaga wa marangu, mara ya kwanza ilikuwa kama utani, tukaanza urafiki, tukaenda kupima, tukawa negative, tukaanza kutumia ndomu, nilikuwa nakaa lodge hivyo wiki mbili za mwanzo alikuwa anahudhuria kwenye lodge kila siku.

alihamia kabisa, na akaacha kazi, tukawa tunaishi wote kwenye lodge. sikujua ni kitu gani aliona kwangu, sijui nilimfanya vizuri sana ila toka siku ya kwanz anilimwambia mimi nimeoa mke wangu yuko dsm na ni mkali sana na ana wivu, tukawa tunafanya tu.

kati ya miezi karibia sita au saba, tulikaa lodge tofautitofauti, ila tulikuwa tunakaa pamoja. kazi yangu ilikuwa ni ya kufanyia tu ndani ya lodge na kama kwenda ofisini ni kwenda naye pamoja na kuweka doc kwa bos na tunarudi wote, yeye hakutaka kuniacha hata mara moja akiogopa nitamtoroka, ati nitabadilisha lodge na kumkimbia. alinipenda akawa analia usiku machozi ati anatamani kama angekutana na mke wangu akubaliane naye amruhusu awe mke wa pili, atamheshimu sana mke wangu, akawa anajilaumu kwamba ni kwanini mimi niliwahi kuoa kabla sijakutana na yeye?

tukiwa sita kwa sita mara nyingi namuona anatoa mikelele kuwa kwanini nimewahi kabla sijakutana naye, manake angekuwa mke wangu. aling'angá nia kuniita mume na mimi nikawa nakata jina hilo. nilikuwa nashangaa, kwanini mwanamke mzuri hivi analia machozi na yuko serious, hatanii, kwamba anatamani angekuwa mke wangu hata wa pili haingekuwa shida kwake?....mimi ni mwanaume sina sura nzuri najijua, ni nunda mweusi....yeye ana weupe wa kichaga na umbo na sura ya kinyarwanda (mamake alikimbia ile genocide)....babake ni tajiri tu ana bar kibao mwanza pale.

SIKU MOJA TUKIWA TUMEKAA, akaniambia anatamani kama angebeba damu yangu, kwasababu anajua mimi sitamuoa kwani nampenda sana mke wangu kuliko yeye. nilimtisha kuwa mke wangu atakutoa roho ukijifanya kuning'ang'ania...mzuriiii,....nilikuwa makini kuhesabu tarehe siku za mimba na bleed yake,....nimejikuta nimetwika mimba tayari,...ana mimba ya miezi minne sasaivi,...ninahudumia mimba na yeye nampenda ile sitamuoa na nilishamwambia mkataba wetu ni mtoto tu, si yeye...amefurahi sana kubeba damu yangu tumboni mwake...sasaivi amehamia arusha anafanya kazi kule......napigiana naye simu kila siku kabla ya kufika home, ana akili sana, ni mwaminifu sana kati ya mademu niliowaikuwa nao.

najua niliteleza, nilimtenda waifu kosa kubwa...juzi waifu anasali kwa mwingira, aliniamsha saa kumi za usiku akasema ameonyeshwa na Mungu kwenye ndoto kuwa mimi nina mke mwingine, akaniambia yote niliyoyafanya...niliogopa, lakini wkasababu mimi ni mbabe kidogo nilimfokea kwanini ananivurugia usingizi na kwanini ananiambia hivyo, nikapotezea...lakini niliumia moyoni kwanini nilifanya vile...kumtelekeza mwanamke yule na mimba naona sio fresh, pamoja na kwamba anaweza kulea yeye mwenyewe, .......nitaanzaje kumwambia waifu kuwa nina mtoto nje?...waifu ananipenda sana na mimi nampenda kuliko wanawake wote duniani najua tutasameheana lakini pa kuanzia sijui....yule wa arusha na mimba yangu, nashukuru Mungu hatakinukisha.....
Nipe namba yake nitakusaidia kulea mtoto atakae zawaliwa na nitamkeep busy kukupunguzia msara kwa wife wako nakumfanya kuweza kukusahau kabisa!!! Upo tayari!!
 
NILIONDOKA HOME, nikaenda kufanya kazi mkoa fulani hapa tz, nimekaa huko kwa muda mrefu. waifu anafanya kazi hapa dsm. ....nimeoa nina watoto. tatizo lilinitokea, nikiwa huko nilikutana na mwanamke mmoja, ni mrefu, mwembamba kidogo ila hips kubwa, ni mzuri ajabu, mamake ni mtutsi babake mchaga wa marangu, mara ya kwanza ilikuwa kama utani, tukaanza urafiki, tukaenda kupima, tukawa negative, tukaanza kutumia ndomu, nilikuwa nakaa lodge hivyo wiki mbili za mwanzo alikuwa anahudhuria kwenye lodge kila siku.

alihamia kabisa, na akaacha kazi, tukawa tunaishi wote kwenye lodge. sikujua ni kitu gani aliona kwangu, sijui nilimfanya vizuri sana ila toka siku ya kwanz anilimwambia mimi nimeoa mke wangu yuko dsm na ni mkali sana na ana wivu, tukawa tunafanya tu.

kati ya miezi karibia sita au saba, tulikaa lodge tofautitofauti, ila tulikuwa tunakaa pamoja. kazi yangu ilikuwa ni ya kufanyia tu ndani ya lodge na kama kwenda ofisini ni kwenda naye pamoja na kuweka doc kwa bos na tunarudi wote, yeye hakutaka kuniacha hata mara moja akiogopa nitamtoroka, ati nitabadilisha lodge na kumkimbia. alinipenda akawa analia usiku machozi ati anatamani kama angekutana na mke wangu akubaliane naye amruhusu awe mke wa pili, atamheshimu sana mke wangu, akawa anajilaumu kwamba ni kwanini mimi niliwahi kuoa kabla sijakutana na yeye?

tukiwa sita kwa sita mara nyingi namuona anatoa mikelele kuwa kwanini nimewahi kabla sijakutana naye, manake angekuwa mke wangu. aling'angá nia kuniita mume na mimi nikawa nakata jina hilo. nilikuwa nashangaa, kwanini mwanamke mzuri hivi analia machozi na yuko serious, hatanii, kwamba anatamani angekuwa mke wangu hata wa pili haingekuwa shida kwake?....mimi ni mwanaume sina sura nzuri najijua, ni nunda mweusi....yeye ana weupe wa kichaga na umbo na sura ya kinyarwanda (mamake alikimbia ile genocide)....babake ni tajiri tu ana bar kibao mwanza pale.

SIKU MOJA TUKIWA TUMEKAA, akaniambia anatamani kama angebeba damu yangu, kwasababu anajua mimi sitamuoa kwani nampenda sana mke wangu kuliko yeye. nilimtisha kuwa mke wangu atakutoa roho ukijifanya kuning'ang'ania...mzuriiii,....nilikuwa makini kuhesabu tarehe siku za mimba na bleed yake,....nimejikuta nimetwika mimba tayari,...ana mimba ya miezi minne sasaivi,...ninahudumia mimba na yeye nampenda ile sitamuoa na nilishamwambia mkataba wetu ni mtoto tu, si yeye...amefurahi sana kubeba damu yangu tumboni mwake...sasaivi amehamia arusha anafanya kazi kule......napigiana naye simu kila siku kabla ya kufika home, ana akili sana, ni mwaminifu sana kati ya mademu niliowaikuwa nao.

najua niliteleza, nilimtenda waifu kosa kubwa...juzi waifu anasali kwa mwingira, aliniamsha saa kumi za usiku akasema ameonyeshwa na Mungu kwenye ndoto kuwa mimi nina mke mwingine, akaniambia yote niliyoyafanya...niliogopa, lakini wkasababu mimi ni mbabe kidogo nilimfokea kwanini ananivurugia usingizi na kwanini ananiambia hivyo, nikapotezea...lakini niliumia moyoni kwanini nilifanya vile...kumtelekeza mwanamke yule na mimba naona sio fresh, pamoja na kwamba anaweza kulea yeye mwenyewe, .......nitaanzaje kumwambia waifu kuwa nina mtoto nje?...waifu ananipenda sana na mimi nampenda kuliko wanawake wote duniani najua tutasameheana lakini pa kuanzia sijui....yule wa arusha na mimba yangu, nashukuru Mungu hatakinukisha.....

Story ndefu duh!! Anyway hapa hatuna mengi ya kushauri sababu wakati unafanya yote hayo hukutushirikisha may be tungekushauri otherwise.In short pamoja na kujitetea kwako eti unampenda mkeo si kweli ndugu yangu labda kwa maneno mdomoni but moyo wako uko kwingine saiv,nadhani umeshindwa tu kusema ukweli kuwa unampenda huyo mdada kuliko wife wako.Subiri ajifungue tu ulee mtoto wako but wife wako ni lazima umwambie ukweli tu,na yeye apime then afanye maamuzi.
 
NILIONDOKA HOME, nikaenda kufanya kazi mkoa fulani hapa tz, nimekaa huko kwa muda mrefu. waifu anafanya kazi hapa dsm. ....nimeoa nina watoto. tatizo lilinitokea, nikiwa huko nilikutana na mwanamke mmoja, ni mrefu, mwembamba kidogo ila hips kubwa, ni mzuri ajabu, mamake ni mtutsi babake mchaga wa marangu, mara ya kwanza ilikuwa kama utani, tukaanza urafiki, tukaenda kupima, tukawa negative, tukaanza kutumia ndomu, nilikuwa nakaa lodge hivyo wiki mbili za mwanzo alikuwa anahudhuria kwenye lodge kila siku.

alihamia kabisa, na akaacha kazi, tukawa tunaishi wote kwenye lodge. sikujua ni kitu gani aliona kwangu, sijui nilimfanya vizuri sana ila toka siku ya kwanz anilimwambia mimi nimeoa mke wangu yuko dsm na ni mkali sana na ana wivu, tukawa tunafanya tu.

kati ya miezi karibia sita au saba, tulikaa lodge tofautitofauti, ila tulikuwa tunakaa pamoja. kazi yangu ilikuwa ni ya kufanyia tu ndani ya lodge na kama kwenda ofisini ni kwenda naye pamoja na kuweka doc kwa bos na tunarudi wote, yeye hakutaka kuniacha hata mara moja akiogopa nitamtoroka, ati nitabadilisha lodge na kumkimbia. alinipenda akawa analia usiku machozi ati anatamani kama angekutana na mke wangu akubaliane naye amruhusu awe mke wa pili, atamheshimu sana mke wangu, akawa anajilaumu kwamba ni kwanini mimi niliwahi kuoa kabla sijakutana na yeye?

tukiwa sita kwa sita mara nyingi namuona anatoa mikelele kuwa kwanini nimewahi kabla sijakutana naye, manake angekuwa mke wangu. aling'angá nia kuniita mume na mimi nikawa nakata jina hilo. nilikuwa nashangaa, kwanini mwanamke mzuri hivi analia machozi na yuko serious, hatanii, kwamba anatamani angekuwa mke wangu hata wa pili haingekuwa shida kwake?....mimi ni mwanaume sina sura nzuri najijua, ni nunda mweusi....yeye ana weupe wa kichaga na umbo na sura ya kinyarwanda (mamake alikimbia ile genocide)....babake ni tajiri tu ana bar kibao mwanza pale.

SIKU MOJA TUKIWA TUMEKAA, akaniambia anatamani kama angebeba damu yangu, kwasababu anajua mimi sitamuoa kwani nampenda sana mke wangu kuliko yeye. nilimtisha kuwa mke wangu atakutoa roho ukijifanya kuning'ang'ania...mzuriiii,....nilikuwa makini kuhesabu tarehe siku za mimba na bleed yake,....nimejikuta nimetwika mimba tayari,...ana mimba ya miezi minne sasaivi,...ninahudumia mimba na yeye nampenda ile sitamuoa na nilishamwambia mkataba wetu ni mtoto tu, si yeye...amefurahi sana kubeba damu yangu tumboni mwake...sasaivi amehamia arusha anafanya kazi kule......napigiana naye simu kila siku kabla ya kufika home, ana akili sana, ni mwaminifu sana kati ya mademu niliowaikuwa nao.

najua niliteleza, nilimtenda waifu kosa kubwa...juzi waifu anasali kwa mwingira, aliniamsha saa kumi za usiku akasema ameonyeshwa na Mungu kwenye ndoto kuwa mimi nina mke mwingine, akaniambia yote niliyoyafanya...niliogopa, lakini wkasababu mimi ni mbabe kidogo nilimfokea kwanini ananivurugia usingizi na kwanini ananiambia hivyo, nikapotezea...lakini niliumia moyoni kwanini nilifanya vile...kumtelekeza mwanamke yule na mimba naona sio fresh, pamoja na kwamba anaweza kulea yeye mwenyewe, .......nitaanzaje kumwambia waifu kuwa nina mtoto nje?...waifu ananipenda sana na mimi nampenda kuliko wanawake wote duniani najua tutasameheana lakini pa kuanzia sijui....yule wa arusha na mimba yangu, nashukuru Mungu hatakinukisha.....

Ukisema mkeo unampenda kuliko wanawake wote duniani, wewe ni muongo mpaka kwenye nafsi yako! yangu ni hayo.
 
Atakusamehe lakini hata sahau na atapunguza uaminifu kwako. Tatizo la wanaume wengi wanashindwa kujuwa kuwa hata changudoa alizaliwa bikra.
 
Ondoa shaka kwani hata mkeo ana mimba ya house boy walikuwa waki Do wakati upo safarini kwa muda mrefu, ndio maana alioteshwa makosa yenu wote wawili ili mtubu
 
eti ni NI NUNDA MWEUSI , YEYE ANA WEUPE WA KICHAGA........shame on you dude, unaonaea aibu weusi wako....mtafute
le presidaa nyoshi el saadat akupe mikorogo😱hwell:

Huyu jamaa inaonekana hata hajiamini yupoyupo tu.
 
miningefurahi sana kama mngenatana na huyo shori wako ili mjue kuwa ..do not ever take what does not belong to you...nyambaf!!!
 
Ubungoubungo unasema huyo mdada ambaye ameweza kutembea na wewe mume wa mtu ndio mwaminifu? mh.
 
ACHENI KUTOA MAPOVU NYIE...story hii nimeitoa sehemu fulani, ilinitachi sana kwasababu sikuipenda ndo maana ikawa kichwani. kwa wale ambao watakuwa wameisoma sehemu, wanawezajua kuwa nimeshindwa kumachisha....poleni kwa kutoa mapovu kama nguruwe pori.....

Sasa kama umeitoa sehemu si ungesema kabla hujaanza hujaandika, nimezidi kuamini kuwa ni wewe pole yako.
 
Majuto ni mjukuu, ulijua una mke nyumba lkn bado ukaona ni vizuri kujirusha na huyo mtoto wa kitusi. dharau mbaya kwa mkeo hiyoo
 
ajabu ni kwamba nilishasema kuwa hii story ni ya kutunga, lakini watu bado wanang'ang'ania, ndo maana utakuwa haiko consistent kabisa..nilishindwa kutunga story, sasa watu wanatoa mapovu...hahaha.
 
hii inanikumbusha ile thread ya mtoto wa miaka mitatu achomwa moto nakulazimishwa kula kinyesi chake ,wanaume ndio sababishi ya mateso ya watoto wengi msikatae kabisa hii ni nini je huyu dada akapata mumewe akamuoa ,huyu mtoto atakaa wapi kama sio kwa shangazi achomwe moto kama yule ,inafika wakati nawaona wanaume kama wakatili je unategemea nini kwa huyu mtoto??ambaye atakuwa in between familia yako na familia ya huyo dada .just emagine huyo si mtamdampo kwa shangazi??????naumia sana
 
NILIONDOKA HOME, nikaenda kufanya kazi mkoa fulani hapa tz, nimekaa huko kwa muda mrefu. waifu anafanya kazi hapa dsm. ....nimeoa nina watoto. tatizo lilinitokea, nikiwa huko nilikutana na mwanamke mmoja, ni mrefu, mwembamba kidogo ila hips kubwa, ni mzuri ajabu, mamake ni mtutsi babake mchaga wa marangu, mara ya kwanza ilikuwa kama utani, tukaanza urafiki, tukaenda kupima, tukawa negative, tukaanza kutumia ndomu, nilikuwa nakaa lodge hivyo wiki mbili za mwanzo alikuwa anahudhuria kwenye lodge kila siku.

alihamia kabisa, na akaacha kazi, tukawa tunaishi wote kwenye lodge. sikujua ni kitu gani aliona kwangu, sijui nilimfanya vizuri sana ila toka siku ya kwanz anilimwambia mimi nimeoa mke wangu yuko dsm na ni mkali sana na ana wivu, tukawa tunafanya tu.

kati ya miezi karibia sita au saba, tulikaa lodge tofautitofauti, ila tulikuwa tunakaa pamoja. kazi yangu ilikuwa ni ya kufanyia tu ndani ya lodge na kama kwenda ofisini ni kwenda naye pamoja na kuweka doc kwa bos na tunarudi wote, yeye hakutaka kuniacha hata mara moja akiogopa nitamtoroka, ati nitabadilisha lodge na kumkimbia. alinipenda akawa analia usiku machozi ati anatamani kama angekutana na mke wangu akubaliane naye amruhusu awe mke wa pili, atamheshimu sana mke wangu, akawa anajilaumu kwamba ni kwanini mimi niliwahi kuoa kabla sijakutana na yeye?

tukiwa sita kwa sita mara nyingi namuona anatoa mikelele kuwa kwanini nimewahi kabla sijakutana naye, manake angekuwa mke wangu. aling'angá nia kuniita mume na mimi nikawa nakata jina hilo. nilikuwa nashangaa, kwanini mwanamke mzuri hivi analia machozi na yuko serious, hatanii, kwamba anatamani angekuwa mke wangu hata wa pili haingekuwa shida kwake?....mimi ni mwanaume sina sura nzuri najijua, ni nunda mweusi....yeye ana weupe wa kichaga na umbo na sura ya kinyarwanda (mamake alikimbia ile genocide)....babake ni tajiri tu ana bar kibao mwanza pale.

SIKU MOJA TUKIWA TUMEKAA, akaniambia anatamani kama angebeba damu yangu, kwasababu anajua mimi sitamuoa kwani nampenda sana mke wangu kuliko yeye. nilimtisha kuwa mke wangu atakutoa roho ukijifanya kuning'ang'ania...mzuriiii,....nilikuwa makini kuhesabu tarehe siku za mimba na bleed yake,....nimejikuta nimetwika mimba tayari,...ana mimba ya miezi minne sasaivi,...ninahudumia mimba na yeye nampenda ile sitamuoa na nilishamwambia mkataba wetu ni mtoto tu, si yeye...amefurahi sana kubeba damu yangu tumboni mwake...sasaivi amehamia arusha anafanya kazi kule......napigiana naye simu kila siku kabla ya kufika home, ana akili sana, ni mwaminifu sana kati ya mademu niliowaikuwa nao.

najua niliteleza, nilimtenda waifu kosa kubwa...juzi waifu anasali kwa mwingira, aliniamsha saa kumi za usiku akasema ameonyeshwa na Mungu kwenye ndoto kuwa mimi nina mke mwingine, akaniambia yote niliyoyafanya...niliogopa, lakini wkasababu mimi ni mbabe kidogo nilimfokea kwanini ananivurugia usingizi na kwanini ananiambia hivyo, nikapotezea...lakini niliumia moyoni kwanini nilifanya vile...kumtelekeza mwanamke yule na mimba naona sio fresh, pamoja na kwamba anaweza kulea yeye mwenyewe, .......nitaanzaje kumwambia waifu kuwa nina mtoto nje?...waifu ananipenda sana na mimi nampenda kuliko wanawake wote duniani najua tutasameheana lakini pa kuanzia sijui....yule wa arusha na mimba yangu, nashukuru Mungu hatakinukisha.....

Ukisoma kwenye hizo highlight za kijani huhitaji kuwa na degree kujua kuwa hii story ni ya kutunga tena mtungaji mwenyewe ana umri kati ya miaka 15-24 na kabila lake ni mchaga.
 
kwanzq nakupa hongera kwa kiranga ulichokitafuta.....

pili nakupa hongera kwa kujitahidi kuharibu ndoa yako......

tatu nakupa hongera kwa kujiandaa kumuumiza mke wako.......

nne nakupa hongera kwa kutarajia mtoto

tano nakupa hongera maana kuna dalili mtoto akakosa mapenzi ya baba...

sita nakupa hongera kwa kung'ang'aniwa na binti, usidhani binti king'ang'anizi ndo ataishia hapo....jiandae kwa makubwa zaidi siku za usoni

ila nikutoe hofu, unajua nyie wanaume mnajua sana kutafuta viranga.....hivyo nikupe tena hongera mkuu, ni viranga vya kawaida sana kwa wanaume wenzio kuvisaka.. tumia ubabe huo huo kumlazimisha mkeo akubali usaliti wako, ila jua tu ndoa yako haitokuwa the same, umeitia doa lisilofutika.............

hongera sana....

dah huu ukweli unauma kama nini nilifanya.... vile hapo nilipopigilia mstarii roho itakuwa inamdundia kule kwa masaburi...
 
Hehehe kumbe rahisi hivi? Ngojaa siku mkewe achoke kusali huko ka mwingira ahamie kanisa l jf apate maushauri. Atakapoitisha kikao cha familia kumuambbia na yeye amemimbwa na boss wake. Yaani mtenda hutendwa, you should bear that in mind kabla hujaanza vituko,

King'asti, ye sio wa kwanza bhana kuwa na mtoto nje, watu wana mpaka timu nje na bado wanaishi na wake zao tena ndoa zisizo na mgogoro. . .ni yeye kuweza kuzichanga karata vizuri tu mbona mambo yatakaa sawa.
 
Back
Top Bottom