miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
inabidi aende kilema tuHahahah itakuwa ya himo au boma ng'ombe!
inabidi aende kilema tuHahahah itakuwa ya himo au boma ng'ombe!
hata mimi sijaelewa
halafu NAKUMIS SANA
Amewezaje kupost? Kwakuwa JF tumeshathibitisha kuna mashoga wa kutosha tu, sasa tuanze msako wa vichaa.
Hahah anajifunza utunzi em ngoja sasa hivi part two yaja tuwe na subira waungwana
hata mimi sijaelewa
halafu NAKUMIS SANA
yani nilijua kuna shida kuja kukutana na vituko nimejukuta nacheka sana
Sasa hivi vipande vipande vinapoteza ladha mkuujaman namaanisha msaada kwa huyu dada...! nimeanza mwanzo wa kuzaliwa kwake ili mtu upate picha ya nini kinamsumbua..! unaweza ukapata mawazo ya kumshaur..! SITANII huyu mtu yupo na anaish ila kaathirika kisaikolojia