TRL imarisheni huduma za reli ya Mwakyembe

TRL imarisheni huduma za reli ya Mwakyembe

Congo

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2008
Posts
2,079
Reaction score
2,333
Huduma za treni kwenda Pugu zimekuwa mbovu sana siku za karibuni. Treni zinachelewa. Zinaenda mwendo wa kusuasua. Mabehewa ovyo. Abiria wanaingia bure.

Hiyo treni bado inahitajika iimarisheni. Itengeezeeni COST CENTRE yake muine kama inalipa ili ipewe ruzuku ya serikali au mpandishe bei.
 
Back
Top Bottom