Trilion 6 gawa kwa Watanzania milion 60 unapata Tshs 100,000

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,491
Dollar milion 6 (trilion 12 za Tanzania kwa exchange rate ya sasa) zilizopigwa EGMA kupitia STANBIC zingegawanywa kwa kila Mtanzania hadi anayezaliwa sekunde hii hadi kwa wakimbizi, kila mmoja angepatiwa Tshs 200,000/= ambazo;

= ni pesa ya kula mwezi mzima bila kufanya kazi.

= ingetosha kila Mtanzania kuwa na madawati manne.

= trilion 12 ingeweka lami kilometre 12,000

= trilion 12 ingelipa mishahara watumishi wote nchini kwa miaka miwili.

HEBU TUONGEZE MAMBO MENGINE AMBAYO YANGEFANYWA NA HIYO TRILION 12

Halafu nasikia kuna jamaa wanataka kwenda kuwekea watuhumiwa dhamana nikajiuliza hivi ni Watanzania wenzetu ama ni Vikundi vya kigaidi?
 
Ela za egma ni dola milioni 6 sasa hizo trilioni umezitoa wapi au kuna nyingine maana kwa ccm yote yanawezekana
 
Trilioni sita ningekufa kwa UKIMWI baada ya mwaka mmoja
 
Ela za egma ni dola milioni 6 sasa hizo trilioni umezitoa wapi au kuna nyingine maana kwa ccm yote yanawezekana
dola milion 6 kwa Tsh ni trilion 12 kwa sasa, ila kwa wakati ule ni kama trilion9
 
Trilion 6 zilizopigwa EGMA kupitia STANBIC zingegawanywa kwa kila Mtanzania hadi anayezaliwa sekunde hii hadi kwa wakimbizi, kila mmoja angepatiwa Tshs 100,000/= ambazo;

= ni pesa ya kula mwezi mzima bila kufanya kazi.

= ingetosha kila Mtanzania kuwa na madawati mawili.

= trilion 6 ingeweka lami kilometre 6,000

= trilion 6 ingelipa mishahara watumishi wote nchini kwa mwaka mzima.

HEBU TUONGEZE MAMBO MENGINE AMBAYO YANGEFANYWA NA HIYO TRILION 6

Halafu nasikia kuna jamaa wanataka kwenda kuwekea watuhumiwa dhamana nikajiuliza hivi ni Watanzania wenzetu ama ni Vikundi vya kigaidi?


hapo bado richmond,eppa,escrow,meremeta waliyazima yote hayo sijui hawakuwa wa tanzania nahisi walikuwa wa burundi.
 
Dollar milion 6 (trilion 12 za Tanzania kwa exchange rate ya sasa) zilizopigwa EGMA kupitia STANBIC zingegawanywa kwa kila Mtanzania hadi anayezaliwa sekunde hii hadi kwa wakimbizi, kila mmoja angepatiwa Tshs 200,000/= ambazo;

= ni pesa ya kula mwezi mzima bila kufanya kazi.

= ingetosha kila Mtanzania kuwa na madawati manne.

= trilion 12 ingeweka lami kilometre 12,000

= trilion 12 ingelipa mishahara watumishi wote nchini kwa miaka miwili.

HEBU TUONGEZE MAMBO MENGINE AMBAYO YANGEFANYWA NA HIYO TRILION 12

Halafu nasikia kuna jamaa wanataka kwenda kuwekea watuhumiwa dhamana nikajiuliza hivi ni Watanzania wenzetu ama ni Vikundi vya kigaidi?
ulifika form II kweli dola 6m ni sawa na trillion 12.. kweli hata housegirl wangu anakushinda
 
Ndugu
Nitangulize heshma kwanza..

Pili WEWE NI KILAZA WA MWISHO KAMA C WAKWANZA...

Ulisoma kwa mtaaLa upii wa Elimu ya Tanzania..,!!?
 
Back
Top Bottom