Treni ya abiria( express) yakwama kazuramimba

Treni ya abiria( express) yakwama kazuramimba

POLENI MLIOPATA MAJANGA AISEE... MUDA MWINGINE UNAWAZA BORA UNGEPANDA BASI TU
 
Hivi kigoma hatuwezi kui lease Rwanda au Burundi hata kwa miaka 50 tu.
 




Mimi sichangii kwasababu ya kuogopa kuitwa mchochezi
Ambacho hujaelewa hapo nini..

Treni ni express ulitakiwa ifike baada ya siku 2...imeongeza siku mbili nyingine kwenye mkwamo huo jumla siku 4
 
Ambacho hujaelewa hapo nini..

Treni ni express ulitakiwa ifike baada ya siku 2...imeongeza siku mbili nyingine kwenye mkwamo huo jumla siku 4


Treni ya express iliyokua inatoka moro kwenda kigoma imekwama eneo la kazuramimba siku ya nne leo..abiria wamekwama siku ya nne leo bila taarifa yoyote,abiria wakosa vyakula,wagonjwa na watoto wakosa huduma muhimu kwa siku mbili sasa,treni ulitakiwa itumie siku mbili kufika kigoma mjini.

Poleni
 
Na waha walivyokosaga ustaarabu jaman..watakuwa wanajisaidia haja zote humo humo na walivyo na makelele sasa kwenye treni hhaehehehehehe...! hili kabila ni shidaaa


Wale wanajuana wenyewe nadhani aliyewacheleweshea miundombinu bora alijua anachokifanya na umuhimu wake kwa ustawi wa taifa
 
Treni ya express iliyokua inatoka moro kwenda kigoma imekwama eneo la kazuramimba siku ya nne leo..abiria wamekwama siku ya nne leo bila taarifa yoyote,abiria wakosa vyakula,wagonjwa na watoto wakosa huduma muhimu kwa siku mbili sasa,treni ulitakiwa itumie siku mbili kufika kigoma mjini.
Kutoka kazuramimba mpaka kigoma ni mwendo wa saa moja tu au dakika 45. Kwa nini wasichukuwe bus na magari yako mengi sana ya kutoka Uvinza kwenda kigoma mjini. Ukae Kazuramimba siku nne wakati unaiona kigoma hapo karibu bwege sana.
 
Kutoka kazuramimba mpaka kigoma ni mwendo wa saa moja tu au dakika 45. Kwa nini wasichukuwe bus na magari yako mengi sana ya kutoka Uvinza kwenda kigoma mjini. Ukae Kazuramimba siku nne wakati unaiona kigoma hapo karibu bwege sana.


Bora umewaambia maana binafsi nilishangaa. Yawezekana bado hawajabadilika ile tabia yao ya ubishi, saa zingine wanabishia bila kujua kuwa wanajikomoa wenyewe
 
Back
Top Bottom