Unajua kusoma na una uwezo mdogo wa kuelewa unachokisoma.umeuliza swali la kipumbavu kabisa
daah ivi kumbe kuna watanzania wa aina kama yakoKwani hiyo SGR inamsaidiaje raia wa kipato cha chini?
Hapo ndo utakapojua kuna watu muda huu walitakiwa wawe wanaishi Serengeti.
Faidi ni kubwa kuliko kuliko unavyofikilia wewe sio kila kitu siasa wewe unaweza uliza ghorofa mjini zinamsaidia nini mkulima Kwa maarifa yakoKwani hiyo SGR inamsaidiaje raia wa kipato cha chini?
Hapo ndo utakapojua kuna watu muda huu walitakiwa wawe wanaishi Serengeti.
Nani kakwambia mimi ni mtanzania?daah ivi kumbe kuna watanzania wa aina kama yako
una akili kweli wewe soma tena ulichoandika na jitafakali mkuu"Kwani hiyo SGR inamsaidiaje raia wa kipato cha chini?"
Hapo ndo utakapojua kuna watu muda huu walitakiwa wawe wanaishi Serengeti.
Itakusaidia usipoteze muda mwingi kutoka point a kwenda b...time is money. ..ushafaham"Kwani hiyo SGR inamsaidiaje raia wa kipato cha chini?"
Hapo ndo utakapojua kuna watu muda huu walitakiwa wawe wanaishi Serengeti.
Swali muhimu zaidi unasafirisha nn toka dar to dodoma chenye ulazima wa ku invest trilion za feza??? Au zile bombadia"Kwani hiyo SGR inamsaidiaje raia wa kipato cha chini?"
Hapo ndo utakapojua kuna watu muda huu walitakiwa wawe wanaishi Serengeti.
Usiwe mvivu wa kufikiria mkuu, kwan lazima iende dodoma?Bombedier route ya Dar to Dom ndio itakuwa imekufa kifo cha mende.
mmejitoa ufahamu siku hizi kwanza destnation ni mz na kigoma kwa akili yako unaoana hamna abilia wala mizigoSwali muhimu zaidi unasafirisha nn toka dar to dodoma chenye ulazima wa ku invest trilion za feza??? Au zile bombadia
Son of a teacher with room temperature IQ, hongera sana mkuu.Watu kama wewe akina Stalin na Lenin walikuwa wanawaua na kuwamaliza
Maana hata kuku kakuzidi akili