Trend Reading: Salum Mwalimu, Mb. Mtarajiwa, Kinondoni!. Hata Wana CCM Wasioendekeza Ujinga, Watamchagua!.

Hili nalo neno!.
P
Pascal ..Mayala
Mimi Mnyamwezi.
BABU YANGU ALIKUWA ASKOFU MKUU WA JIMBO LA TABORA ASKOFU MARCO MIHAYO..
NA KWETU KUNA MAYALA UOANDE WA MAMA YANGU.SIKUJUI ILA NINAKUFUATILIA SANA KILA SEHEMU.
NUNAITWA NSHIMBA.
NIAMINI ...SIASA ZA UPUNZANI TANZANIA BADO.IKA WANATUSAIDIA ..CHAMA TAWALA KIMEJIREKEBISHA SANA...LEO DR WILBORD SLAA AMELETWA SWEDEN.NITAKWENDA KUMSALIMIA.NI KWA SABABU AMEONA NA KUAMINI UKWELI.
TUACHE UJINGA.
 
Babu yangu alikuwa Katekista wa kanisa Katoliki hapo Tabora, akaoa mke wa Kinyamwezi kutoka Sikonge hivyo bibi mzaa Baba ni Mnyamwezi na Mzee Mayalla (RIP) alizaliwa Tabora na kusomea Tabora hivyo unaweza kuwa ndugu yangu.
P
 
Asante, usemayo ni kweli, mpokee balozi wetu mpya, mjadili how you can help. Mimi nimeishi kidogo Sweeden nilikuwa hoisted nyumbani kwa Balozi Kadiri, enzi za Balozi Wilson Tibaijuka.
P
Vizuri.Kadiri nilimjua.na jata Mabalozi wote wanaokuja sweden.lazima waambiwe watanzania wa zamani na umuhimu wao.nimeshawasaidia watanzania wengi sana.
Kuanzia Balozi Tinaijuka hadi aliyeondoka.wanajua
Nitamkaribisha Dr.slaa na nina imani tutakuwa naye vizuri
 
Babu yangu alikuwa Katekista wa kanisa Katoliki hapo Tabora, akaoa mke wa Kinyamwezi kutoka Sikonge hivyo bibi mzaa Baba ni Mnyamwezi na Mzee Mayalla (RIP) alizaliwa Tabora na kusomea Tabora hivyo unaweza kuwa ndugu yangu.
P
Mayalla ni ukoo wa upande wa mama.
Na inawezekana.kwa sababu sabau hata kaka yangu hadi leo anatumia jina la Mayalla
Sisi ni wana Nshimba.
Ukoo wa Askofu Mihayo.
Mimi nimjukuu wa Mihayo.
Kaka Dunia Kiganja...

Leo niko sweden kesho ninakuja kufungua kiwanda chuma tanzania .
 
Hopeless thinking ever, kudeclear interest while showing mapenzi ya dhati kwa machagadema
 
Chabruma
cocochanel
Ruttashobolwa
Lizaboni
stroke
Msituletee ujinga wa LUMUMBA
 
DR Peter W Slaa anakuja huko. Mpeni ushirikiano.
 
Ni bahati mbaya kwamba muda wa kampeni uliisha jana na leo ni siku ya kwenda kupiga kura ambapo ama mtu ni mjinga au sio mjinga, moyo wake na akili zake kwa kushirikiana na kalamu na karatasi ya kura, kwa mkono wake ataamua ampe nani! Kuwaita wapiga kura wa Kinondoni ambao hawatampigia kura Salim kuwa ni wajinga, hujatendea haki demokrasia. Au ulitaka wote wacheze mdundo wa ngoma yako?
 
MUDA SI MREFU MATOKEO YATANGAZWA KUMPA USHINDI MTULIA NA OFFICIALLY KUTHIBITISHA KUWA MLETA MADA NI NABII WA UONGO
 
Sijawahi kumuamini mtu huyo na sitamuamini , nikipata wasaa nitaku PM
Ukitaka kumbaini fuatilia maandishi yake humu jf siku chache kuelekea uchaguzi wowote ule ambao unashirikisha chama chake cha ccm , jaribu kufanya hivyo utambaini kirahisi sana !
Nasisitiza mimi sina chama kabisa bali najihesabu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Hivyo hili ni moja ya mabandiko yangu kabla ya uchaguzi ili kukipigania chama changu CCM.

Paskali
CChttps://www.jamiiforums.com/members/retired.376984/
Huu ulikuwa ni wito kwa wana CCM wenzangu wa Kinondoni, tumchague Salum Mwalimu, lakini wakanikatalia, ila nauheshimu uamuzi wao.

P.
 
Prediction algorithm kati ya 2005 mpaka 2015 kwenye chaguzi za hapa nchini ilikuwa na variables nyingi sana na loop kibao...hivyo kuwa ngumu kutumika kwa urahisi. Lakini kuanzia sasa na kuendelea. Variable zimepungua sana na loop ni chache kutokana na baadhi ya kugundulika kwa baadhi ya variables kutokuwa reliable na kukosa thamani hivyo kupelekea kuziondoa. Hii ilisaidia sana algorithm hii kuwa na loops moja tu hivyo kurahisisha matumizi yake hauhitaji kuwa na 'processor' kubwa na 'space' ku'run' aligorithm hii. Una click tu ndani ya 30ms unapata majibu. Ya mwaka 2020, majibu yake yatapatikana mapema sana yaani 2019 (mwakani).
 
Hakuna demokrasia isiyo na gharama. Tuheshimu uhuru wa kuamua na kufanya kwa misingi ya demokrasia. Mbunge wa zamani wa CUF alitumia demokrasia hiyo hiyo inayopigiwa kelele na 'wanaharakati' kufanya uamuzi aliouna sahihi na CCM kwa demokrasia waliyonayo ndani ya chama na mikakati ya kuendelea kuongoza nchi kwa maslahi ya watanzania wote safi wakamuunga mkono. Sasa ni mbunge wa Kinondoni. Hii ndiyo gharama za demokrasia, ni wajibu wa kila chama cha siasa kutumia furusa zilizoko kwenye demokrasia kukamilisha mipango yao yenye nia njema kabisa kwa wananchi. Tusinung'unikie gharama ya demokrasia...demokrasia tuliitaka na bado tunasisitizwa kujiendeshe kidemokrasia.

Asante P. Mayalla kwa uzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…