Trend Reading: Salum Mwalimu, Mb. Mtarajiwa, Kinondoni!. Hata Wana CCM Wasioendekeza Ujinga, Watamchagua!.

Mkuu,ukumbali sana na jambo husika.mtulia alikua mwana cuf
 
KWAN MGOMBEA WA CCM NI NANI?
 
Uko sahihi mkuu,ila je walisema hawata shiriki kila uchaguzi utao itishwa au ulikua ule tu uliopita?.
 
Nakubaliana na wewe ccm kushinda uchaguzi hawahitaji wapiga kura kama wengi wetu tunavyojidanga Bali wanahitaji mtangaza matokeo tu.hivi watu wamesahau why ni rahisi mtu kupenda katika tundu la sindano kuliko kubadirisha katiba ya Tanzania
Huu ndo ukweli mchungu
 
Wewe mbona wazazi wako machangudoa hatusemi?
 
Ccm hawahita kura ili washinde,bali mtangaza matokeo tuu
 
Nadhani nivema kukaa nakuchagua mfumompya wakufanya Demokrasi yenyemfumo wa siasa na maendeleo! Lakini hii majungu mengi,na inadumaza akili za vijana.
 
CHADEMA hata wakeshe wanafanya kampeni hawawezi kushinda kwenye Jiji la Makonda , hivi mnamjua RC Makonda au mnamsikia hawezi kukubali Jimbo likaenda kwa hao Wahuni
Anayeamua nani awe mbunge ni Makonda au wananchi?
Halafu watu wanagonga Like kwenye mawazo ya kijinga namna hiyo!
Mawazo yanayotweza uwezo wetu wa kufikiri, kuamua na kutenda kama wananchi isipokuwa Makonda anaamua kwa niaba yetu!
Hii inathibitisha bila shaka kuwa, CCM huwa haishindi uchaguzi na raia tunashadadia upuuzi huo kwa kiwango cha kujivuni?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…