mpushi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 280
- 76
Serikali iangalie kwa kina madhara yanayoweza kujitokeza kwa wananchi wanaovuka kutoka upande wa Tungi kwenda Yespa na Yespa kwenda Tungi, maana kuna wengine wanavuka ndani ya maji baada ya daraja kukatwa na wengine wengi wanavuka kwa kupanda juu ya tuta la mwendo kasi