Ina urefu wa Mita nne na upana wa mita tatu, inahitaji winghi spesho ya kuipakia, inahitaji kibali kutoka Tanroad kuomba ili ipite kwenye barabara, inahitaji magari maalum Lawbed ya kubebea. Afanalek!Ni kutoka Dar kwenda Misungwi, ni Transfoma ya tani 50 naibu waziri anasema ilikuwa halali , kweli ? Hivi kujitoa huko ilipotokea mpaka nchini iligharimiwa kiasi gani?
Hata kama , ni kubwa kwa kiwango gani huwezi satirists kwa gharama zote hizo, gharama za kuitoa ilipotokea mpakIna urefu wa Mita nne na upana wa mita tatu, inahitaji winghi spesho ya kuipakia, inahitaji kibali kutoka Tanroad kuomba ili ipite kwenye barabara, inahitaji magari maalum Lawbed ya kubebea. Afanalek!
Ina urefu wa Mita nne na upana wa mita tatu, inahitaji winghi spesho ya kuipakia, inahitaji kibali kutoka Tanroad kuomba ili ipite kwenye barabara, inahitaji magari maalum Lawbed ya kubebea. Afanalek!
Wizi umezidi kwasababu kila mwezi nasafirisha contena kipisi ni kati ya 5ml mpaka 7m hadi mwanza
tani 50 256Million....hela ya zimbabwe sio Tsh... hahaha! em ngoja niendelee kutengeneza software yangu wasije niharibia mood...