Transfoma yasafirishwa kwa milioni 256!

Transfoma yasafirishwa kwa milioni 256!

Sihitaji miwani kuona kuwa huu ni wizi
 
Tatizo letu watanzania ni kuishia kulaumu na kusahau haraka machungu yetu bila ya kuchukua hatua!
Inashangaza kuona CCM inavyoweza tumia rushwa kuulinda mfumo wao wa rushwa! Vijana wananunuliwa kwa bei rahisi kabisa kukiunga mkono chama kinachowagandamiza! Ingekuwa nchi nyingine kashfa hii ingeitikisa nchi, lakini kwa aina ya vijana tulio nao CCM wataonekana mashujaa!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom