MUSSA GUETTA
Member
- Oct 11, 2015
- 38
- 2
wadau naomba mnishaur...iv naweza hamia chuo cha hurbert kairuki bila ya kupitia TCU i mean...niende moja kwa moja chuon nichek utaratibu..maana hawa TCU online siwaamin kabisa kwa walichonifanyia kwny udahili...nina B plain zote na ni PCB...ushaur wenu wadau...ahsanten