transfer chuo

transfer chuo

MUSSA GUETTA

Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
38
Reaction score
2
wadau naomba mnishaur...iv naweza hamia chuo cha hurbert kairuki bila ya kupitia TCU i mean...niende moja kwa moja chuon nichek utaratibu..maana hawa TCU online siwaamin kabisa kwa walichonifanyia kwny udahili...nina B plain zote na ni PCB...ushaur wenu wadau...ahsanten
 
Haiwezekani

Wanasema utaratibu huo umefutwa. Nimpaka kufanya online
 
Back
Top Bottom