Hii imekua kama ni hali ya kawaida au labda ndio utaratibu sare za trafiki, kina dada wengi matrafiki wanavaa skirt either kwa mbele ziefunika magoti lakini unakuta kwa upande wa nyuma imenyanyuka na kuacha sehemu kubwa ya nyuma wazi, kupanda kutoka kwenye magoti na wengi wao huvaa fupi kabisa (KIMINI) kama hutaki kuamini na kama upo barabarani karibu na trafick jaribu kumuangalia tu utaona haya nnayoyasema.
Jaribuni kubadilika na tambueni kuwa nyie wa kuigwa na jamii kwa kutenda yaliyo mema .. .
Amini nakwambia ukiona matrafic na mapolisi wa Brazil utajikuta umegonga aisee,,, kwanza wamesheni halafu vinguo vya kubana balaa, halafu kifuani sasa,,,,,, sasa ukute polisi wa kike shepu zito halafu pembeni kaweka pistol balaa zaidi
Amini nakwambia ukiona matrafic na mapolisi wa Brazil utajikuta umegonga aisee,,, kwanza wamesheni halafu vinguo vya kubana balaa, halafu kifuani sasa,,,,,, sasa ukute polisi wa kike shepu zito halafu pembeni kaweka pistol balaa zaidi
Hii imemekua kama ni hali ya kawaida au labda ndio utaratubu sare za trafiki ..kina dada wengi matrafiki wanavaa skirt either kwa mbele ziefunika magoti lakini unakuta kwa uoande wa nyuma imenyanyuka na kuacha seheme kubwa ya nyuma wazi ..kupanda kutoka kwnye magoti .. na wengi wao huvaa fupi kabisa (KIMINI).. kama hutaki kuamini ..kama upo barabarani karibu na trafick jaribu kumuangalia tu utaona haya nnayoyasema .
jaribuni kubadilika na tambueni kuwa nyie wa kuigwa na jamii kwa kutenda yaliyo mema .. .