jamani hivi kwa nini huyu Arusha Leo ni mwongo mwongo. Mimi simwaini hata kidogo. Unaharibu hadhi ya JF jamani badala ya kuwa ma great thinker anafanya JF iwe great gossipers. Naomba upigwe ban. Kwenye thread ya Moto kuunguza nyumba yenye maduka 8 arusha ulisema uwongo kuwa owner amelazwa hosp ya selian wakati hata pressure hakwenda kupima. Umenikasirisha sana kwa kuharibu hadhi ya JF