Mo-TOWN JF-Expert Member Oct 11, 2010 1,721 515 May 14, 2013 #1 Kuongoza magari Kona ya PPF na barabara mpya ya maji machafu na General Tyre. Kero ni kubwa mno. Ushauri kwa uongozi wa Jiji Arusha kufikiria ujenzi barabara ya mzunguko au taa ili kuweka utaratibu mzuri kwa magari kupita.
Kuongoza magari Kona ya PPF na barabara mpya ya maji machafu na General Tyre. Kero ni kubwa mno. Ushauri kwa uongozi wa Jiji Arusha kufikiria ujenzi barabara ya mzunguko au taa ili kuweka utaratibu mzuri kwa magari kupita.