Trafiki Msata rushwa tupu

Trafiki Msata rushwa tupu

Ukikutana na wa mataa ya Morocco Dar ndio utalia kabisa!
 
Jamani nani atakomesha rushwa kwa traffic police? Tarehe 30 July 2016 nimepita njia ya Bagamoyo - Msata mida ya saa 5 asubuhi, ma ma ma ma ma! polisi wa barabarani walijiposition kwenye kibao cha barabarani kilicho andikwa 50 kwenye kona na kifaa chao cha kupima speed ya magari. Jamani!!! Hakuna gari hata moja lililoandikiwa faini ya sh. 30000, magari yooote tulitozwa rushwa ya kuanzia 5000 hadi 10000 tu na kuendelea na safari. Gari langu dogo nimeambiwa nimeendesha speed ya 55km/saa badala 50 na wakati wa kurudi siku inayofuata nikaambiwa nimeendesha km 60. Magufuli rushwa traffic huiwezi bana.
Kwa hiyo ww ulitoa rushwa?! Sasa ataiweza vipi Kama ww umetoa rushwa ... Wanaume wa dar jamn nani kawaroga!!!???
 
Kwa hiyo unataka watu waanze kulipa 30000. Hawakulazimishi, ungetoa 30 mara mbili ukajenga nchi. Kuliko kutoa 10 ukajenga maisha yako. Maana hela tunazotoa serikalini kwa sasa matumizi anapanga mtu mmoja.
Wazungu wameendelea kwa kulipishana kodi, hata zaka na sadaka tunazotozana kwenye nyumba za ibada ni kodi za maendeleo. Tusiipotoshe jamii kuwa tunaweza kuendelea kwa kulipishana sh 5000
 
Back
Top Bottom