Trafiki kama noma na iwe noma

Trafiki kama noma na iwe noma

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
6,132
Reaction score
10,515
Trafiki alipolisimamisha gari, alimkuta dereva yupo sawa kila sekta: bima ilikuwa halali, mzigo ulikuwa na stakabadhi kamili, leseni ilikuwa bado hai, na matairi yalikuwa mazima bila tatizo. Baada ya kulikagua gari kwa kulizunguka mara mbili, ndipo akaibua kosa moja tu—ufa mdogo kwenye taa.
1758209901654.jpg

Alipomuuliza kwa nini asimpe dereva onyo tu badala ya kumuandikia kosa, trafiki alijibu kwamba angeweza kufanya hivyo, lakini hakuridhishwa na namna dereva alivyoongea. Alisema hakupenda kujiamini kwake kupita kiasi, kana kwamba alikuwa hana dosari kabisa.
 
kaona anaondoka mkono mtupu, acha wote wale hasara
 
Nchi ni yetu mateso ni yetu, tuendelee na amani jamani, serikali yetu ya Fisiemu inahubiri sana amani kila kukicha tafadhari tusiiangushe...
 
Back
Top Bottom