Trafiki afa baada ya kukamata daladala

Trafiki afa baada ya kukamata daladala

ma trafiki wa Moshi niwasumbufu hata kama huna kosa wanataka kitu kdogo

Bora wa Moshi mara mia. Wa Arusha ndio kichefuchefu kabisa. Utakuta askari 20 sehemu moja eti wote ni trafiki na wako kazini..
 
Yuko mzee mmoja wa kipare anaitwa "Kilenga" ni maarufu sana mkoani kilimanjaro, huyo mzee ana magari (Kilenga Luxury) yanayopiga ruti za Arusha, Moshi, Tanga. Ikitokea trafiki akakamata gari yake basi huo ndo mwisho wa uhai wa huyo trafiki.

"Kilenga" ina maanisha nini mkuu??
 
Kifo ni kifo tu zingine zote ni sababu.

Inna li Llahi wa inna iLlayhi rajiun.
 
Kimsingi Polisi akikamata gari hapaswi kulipanda!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Unatafuta urafiki na Faiza??? Kulikoni

Jamani kwani tatizo nini! ndani ya jf humu mimi najua wote marafiki hata kama tuna mawazo tofauti ktk issues, ndiyo maana tunajadili mambo kwa pamoja. Otherwise kama una interest zako tofauti, na labda una interest binafsi na Faiza unahisi zitahatarishwa. Be happy 100%, nilifurahi comment yake ndo maana nikampa heshima ya kumsalimia.
 
Kuna trafiki alikamata gari la mzee kilenga, watu wakamshauri aliachie akawa mbishi, kuanzia siju hiyo akivaa nguo za trafiki anawashwa karibu ya kufa, akivaa za kawaida mzima.
Dada mmoja trafiki nae alikamata akatokwa na bleed mfululizo bila kukoma wakamshauri akamtafute mzee mwenyewe, akampelekea zawadi ya sukari mzee akamshika kichwa dada akapona, siku yapili akaacha kazi

Utakufa kwa kuogopa wachawi . Acha kihoro na mambo ya kusadikika. Mbona analipa ushuru na road license?
 
ma trafiki wa Moshi niwasumbufu hata kama huna kosa wanataka kitu kdogo

Hutakiwi kutoa chochote ni uoga wako wa kulipa faini ya Shs 30,000 unaokufanya umuombe trafiki apokee rushwa ya kitu kidogo ili yaishe.

Kama huna kosa rushwa unatoa ya nini hujui kutoa rushwa na kupokea vyote ni kosa la jinai?
 
Kuna trafiki alikamata gari la mzee kilenga, watu wakamshauri aliachie akawa mbishi, kuanzia siju hiyo akivaa nguo za trafiki anawashwa karibu ya kufa, akivaa za kawaida mzima.
Dada mmoja trafiki nae alikamata akatokwa na bleed mfululizo bila kukoma wakamshauri akamtafute mzee mwenyewe, akampelekea zawadi ya sukari mzee akamshika kichwa dada akapona, siku yapili akaacha kazi

mhhhh!
 
Back
Top Bottom