MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Mbaya sana hii kitu. Mida ya saa 5 nilipita pale nikawakuta hawa trafic akiwemo mwana mama mmoja sasa sijui aliyekufa ni men au mwanamama? Huyu bwana aliyewagonga askari alikuwa na makosa lazima na kwa nini asingekwepa kwa kupitia Kanisani atokezee Shalom uzunguni aje atokee East afrika hotel kuliko kuhatarisha maisha ya watu wengine? So sad So Bad