Trafic sijawaelewa leo

meDav

Member
Joined
Dec 24, 2014
Posts
40
Reaction score
5
Niko safarini natoka Mbeya kwenda Njombe kufika maeneo ya Chimala kuna kitu kimenishangaza kidogo sababu kwanza tumepigwa mkono halafu traffic police wakaingia ndani moja kwa moja hadi siti ya nyuma wakaanza seaching mtu waliompoint tu wakamkuta na mzigo .

Hivyo jamaa wameshusha hapa na mzigo wake daah.
Sasa kitu ambacho sijaelewa kuwa hawa jamaa kusema kwamba wako makini sana na kazi au wamechoreshwa mchongo maana hakuna mtu waliomgusa zaidi ya jamaa tuu moja kwa moja...!

Ila kama its true kuwa they did it by their own big up kwao saluuute
 
kakutwa na mzigo gani?
 

Labda Nikusaidie Tu Ktk Kila Basi La Abiria Huwa Kuna " Nyoka wa Kiitelijensia Mmoja " Na Hao Maaskari Watakuwa Walipewa Tip Na Huyo Nyoka Mliyekuwa Nae Humo Basini. Na Ndiyo Maana Bajeti Ya Wizara Hiyo Ya Ulinzi Na Ile Nyingine Huwa HAZIJADILIWI SANA BUNGENI NA HAZIBISHIWI KTK KUPEWA FUNGU LAKE NA HATA MAFUNGU YAO PIA HUWA NI MAKUBWA na Moja Ya Kazi Yake Ni Kama Hiyo.
 
hii nchi ukiwa na hela hufungwi
 
sawa kabisa Mkuu
ila kwa kuongezea huyo jamaa kachomeshwa na mwenzake ambaye kendavuta POLISI

na wanaokamata wala sio Traffuc labda kwa kushirikiana maana kuna ambao tunawaita WANOKO kazi yao ndio hiyo wanaweza pia shirikiana na aburia ili mtuhumiwa asishuke au kuhama
 
kama unamzigo wa magendo kwanini utumie mabus?
 
sawaa ila wanajuaje kamanda au ndiyo mafuunzoo yao bhana
 
Unaweza kukuta ni mtu wao kawaletea mzigo, raia wao wanaaona kakamatwa kishujaa. Akili za mbayuwayu ukichanganya na za kuambiwa unapata za nani??

Abiria wamepigwa changa la macho kumbe ni sembe ya mkubwa inaingizwa kijanja.
 
hahaha mbeya kwenda njombe bila shaka hiyo ni bangi tuuu.

mkuu hapo hakuna nini wala nini mm nineishi sana njombe na nimzaliwa wa hapo na ukinambia nikutajie wauza bangi woote wa kipindi mm naishi huku nitakutajia wale ambao maarufu wanafahamika mpaka polisi na walikuwa kila baada ya mwezi wanapeleka fungu kwa mkuubwa wa polisi ni.
mtoto wa saa sita muza nguruwe JACOB SASITA maarufu kama KACHA
kuna mtoto 1 mzee wake alikuwa mlokole sana anaitwa UBS alikuwa na mabasi zamani jina la mhusika.muuzaji limenitoka kidogo.

na mwingine jamaa 1 alikuwa mbavu sana anaitwa BAHATI nimpiga debe stend.

sasa ujinga wa hawa wauzaji mmoja wao akileta mzigo kabla hajaanza kuuza huandaa kabisa mazingira yakutokuwa na upinzani anachokifanya kama kaingia na mzigo anawachoma wenzake kwa polisi anakwenda anatoa fungu lefuu so polisi wanaawaandama jamaa kwa kuwakamata na kuwasweka.ndani so vijiwe vyao vinakuwa vimefungwa yy anapeta anapiga dili kama kawa.
au some times ndio kama hivyo ukisikia mwenzio kaaenda kuchukua mzigo unamfuatilia na kumchoma.

na some times unako nunua.mzigo ndio wanakuchoma wanachofanya wanakula na polisi wanakukamata wanakupukutisha then mzigo aliye kuuzia.unarudi tena kwakwe so polisi wanakula mara 2 kwa muuzaji na kwa aliyekamatwa na mzigo.

HILI JESHI LETU LA POLISI NI SHIDA SANA AISEEE
 

alikuwa ametoka zambia akapoz mby leo ndio alikuwa anaendelea na safar
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…