Rushwa kuiondoa siyo jitihada za traffic. Umejiuliza kwa nini mtu anatoka na kushawishi kutoa RUSHWA? kuna tatizo katika mifumo yetu. Kama sumatra wamemupa route, kama TRA wamemupa lesseni ya biashara na gari lake bovu, unadhani polisi ataanzia wapi kukomesha hali hiyo? hizi taasisi zote, ni wehu tu, masaburi @ work every nukta, usitegemee ajali kuisha.
kuna OCD mmoja alisimamia sheria ya kupiga disco kusini mwa tanzania. aliyekuwa anapiga disco, alikuwa ni KOMBA. Mda ulipofika OCD akaeenda kumkumbusha mwisho wa makubaliano yetu 6 usiku, watu wakasema tunataka hadi majogoo, komba akamsihi amruhusu, OCD akagoma, komba akamwambia ukininyima ruhusa ya kukesha, iko sehemu nitaruhusiwa. Komba akapiga simu, akaruhusiwa na yule OCD kuamriwa kumlinda komba mpaka majogoo. Kulipokucha, OCD alifatwa na RPC wake kuwa anaitwa kwa mkuu wa mkoa, alipigwa transfer na kushushwa cheo hadi mshauri wa mgambo wilaya.
walioshikilia system wakiwa waovu, hata wanaoisaidia sysytem kuendelea kuwepo watakuwa waovu, hautapata msafi hata siku moja