Hunyu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,774
- 4,339
Habari ya usiku wakuu. Poleni na majukumu ya siku nzima.
Leo nimekutana na hiki kisa cha huyu mama Traffic Police.
Nilikuwa natoka kwangu naingia mjini, kwa mbaali nikamuona traffic anaelekea ninakoelekea. Nilipomfikia nikampita tu sikusimama. Kwakuwa sikuwa speed, baada ya kumpita hatua chache nikajisikia moyoni kumpa lift yule mama traffic.
Kweli nikasimana na nikaanza kurudi nyuma ili nimfikie. Nilipomfikia, nikamuuliza anakoelekea akasema naenda pale sehemu(akaitaja) kwasababu kuna msafara. Nikamwambia, panda afande twende, kweli akapanda tukaanza kuondoka.
Baada ya story za hapa na pale mama akaanza kunishukuru kwa kumpa lift. Nikasema usijali mama wewe ni boss wangu.
Akasema, mwanangu pamoja na uaskari wangu huu, siwez kuomba lift ktk maisha yangu hata siku moja, nikauliza why, akasema iko iv. Kuna siku alisimamisha gari akiwa na uniform kwa lengo la kuomba lift, yule mtu alimjibu "NUNUA GARI YAKO UPANDE" anasema toka siku iyo hawezi kuomba lift kwa jinsi alivodhalilishwa.
Nilishangaa na nikajisikia vibaya sana kwa majibu hayo alojibiwa yule mama traffic.
Wadau, je ni sahihi kweli hata kama wanakera hawa askari?
Leo nimekutana na hiki kisa cha huyu mama Traffic Police.
Nilikuwa natoka kwangu naingia mjini, kwa mbaali nikamuona traffic anaelekea ninakoelekea. Nilipomfikia nikampita tu sikusimama. Kwakuwa sikuwa speed, baada ya kumpita hatua chache nikajisikia moyoni kumpa lift yule mama traffic.
Kweli nikasimana na nikaanza kurudi nyuma ili nimfikie. Nilipomfikia, nikamuuliza anakoelekea akasema naenda pale sehemu(akaitaja) kwasababu kuna msafara. Nikamwambia, panda afande twende, kweli akapanda tukaanza kuondoka.
Baada ya story za hapa na pale mama akaanza kunishukuru kwa kumpa lift. Nikasema usijali mama wewe ni boss wangu.
Akasema, mwanangu pamoja na uaskari wangu huu, siwez kuomba lift ktk maisha yangu hata siku moja, nikauliza why, akasema iko iv. Kuna siku alisimamisha gari akiwa na uniform kwa lengo la kuomba lift, yule mtu alimjibu "NUNUA GARI YAKO UPANDE" anasema toka siku iyo hawezi kuomba lift kwa jinsi alivodhalilishwa.
Nilishangaa na nikajisikia vibaya sana kwa majibu hayo alojibiwa yule mama traffic.
Wadau, je ni sahihi kweli hata kama wanakera hawa askari?