sukununu material
Member
- Jul 30, 2013
- 8
- 2
Wamejikusanya kundi kubwa la trafić police pale mto nduruma na kushurutisha watu kulipa faini na ukiwauliza risiti wanakuambia uifuate kituoni kwao.
Sasa kama hawana risiti kwa nini wawatoze watu faini? Ni kwamba wanakomba hela za watu wazi wazi, imekuwa ni mradi wao wa kujiingizia fedha isivyo halali.
Sasa kama hawana risiti kwa nini wawatoze watu faini? Ni kwamba wanakomba hela za watu wazi wazi, imekuwa ni mradi wao wa kujiingizia fedha isivyo halali.