Askari wa usalama barabarani ambaye jina lake halikufahamika ameokolewa na askari wenzake baada ya kutekwa na mwendesha bajaji, tukio hilo lilitoke barabara ya alihasan mwinyi maeneo ya sayansi.
Inadawa mwendesha bajiji aliposimamishwa alikataa kusimama ndipo askali huyo alidandia bajaji na kumlazimisha aende kituoni baada muda bajiji ilikimbizwa na kuanza kupelekwa kusikojulikana walipo katiza taa za sayansi polis huyo wa usalama barabarani alipiga kelele na kuokolewa na wenzake...huku mwendesha bajaji akihama njia kuu na kuchepuka na barabara ya LHRC.
Hapa ni wanausalama wa barabarani wakimthibiti mtekaji...