Dealer wa Magari wanaotumia Tradecarview ni wengi hapa Japan na Sio wahaminifu Kama una ndugu yako au jamaa hapa Japan mwambie akusaidie Mimi naishi hapa nilikuwa nasaidia watu wanaohitaji Magari nyumbani Lakini nimeacha kwasababu ni pasua kichwa mtu akishakutumia dola zake kadhaa sasa anaanza kukupa stress, za simu hata usiku wa manane ukichukulia mtu akipiga simu bongo ni mapema hapa inakuwa tayari ni usiku! Malalamiko yanaanza jamaa nampigia simu hapokei! Wakati wengine hatuuzi Magari Bali ni waajiliwa unakuwa unasaidia tu, anapopata gari lake hata simu ya kukushukuru hupati! Nunueni huko huko kwa dealer mkipigwa ndimu msilalamike.