Trade War: Baada ya China kujibu mapigo,Marekani yarusha kombora lingine

Na Marekani wanatumia boda boda za mchina? U cant be serious...
Sio kwamba Ze kokuyo, Ameshindwa kukuwekea list ana sababu zake anajuwa Marekani itapata aibu!
740x-1.png
 
Jamani hiyo ishu ya uchina kuongezewa kodi tuichangamkie. Makampuni mengi ya Marekani yalikuwa yanazalishia bidhaa zao China sababu ya gharama nafuu. sasa hizo kodi zitawafanya wafikirie sehemu zenye gharama ndogo zaidi na ni Africa. Tuongeze uzalishaji wa umeme, Tutenge maeneo mapya ya viwanda, Tupunguze sheria na kodi za uanzishwaji wa viwanda na tujitangaze kuwa tunakaribisasha wawekezaji.
 
Jamani hiyo ishu ya uchina kuongezewa kodi tuichangamkie. Makampuni mengi ya Marekani yalikuwa yanazalishia bidhaa zao China sababu ya gharama nafuu. sasa hizo kodi zitawafanya wafikirie sehemu zenye gharama ndogo zaidi na ni Africa. Tuongeze uzalishaji wa umeme, Tutenge maeneo mapya ya viwanda, Tupunguze sheria na kodi za uanzishwaji wa viwanda na tujitangaze kuwa tunakaribisasha wawekezaji.
hahahaha propaganda mkuu hizi Marekani hana chao huko china labda 0.01%
 
Soko la africa?hiv hujui africa inachkua vtu vya electronic toka korea na japan,.hahahahah,..samsung,LG,.singsung,..etc vyoote from korea na japan...china soko lake ni america,na itakula kwake,

Mwenzie marekan concentration ya kufanya trade hzo alishamaliza toka miaka ya 1980s,..sasa hiv uchum wa marekan unategemea vtu vingne kabsaa,..mchina na anaibuka sasa hiv so anafanya biashara ambazo marekan alifanya miaka ya 80.hahaha
Wee jamaa bana china amefanya kitu kinaitwa trade license
Au hujui...
 
Kasome upya takwimu za Kiuchumi...Afrika Haijafikia kununua Hata 10% ya Bidhaa za China....
Marekani pekee wananunua 30% ya Bidhaa za China....
Unapoenda dukani Ukaona Karibia Kila kitu ni Made in China Haimaanishi kwamba china Ndio inategemea zaidi Soko la Africa ......

Unajua Africa Nzima Hatufikii hata 8% ya Uchumi wa Dunia???

View attachment 734070

Huo ulinganishi wa hapo umefanywa kwa kutumia dollar, kitu ambacho mim had kesho sina iman nayo sana maana dhaman ya pesa inatokana na uzalishaji wa bidhaa halisi na huduma, na huduma zinye tija ni zile zinazo changia kuongeza uzalishaji wa bidhaa mfano elimu, afya, mazingira na kadharika.

Marekan kuwa ndio taifa lenye nguvu ya uchum maana yake wanazalisha bidhaa nying na huduma kuliko mataifa mengine na wao ndio walio takiwa kuwa watu wa kuuza nje zaid na sio kununua nje zaid. Ukinunua nje zaid maana yake uzalishaji wako ni hafifu haukidh maitaji ya soko la ndan.

Kitu kinacho kipa nguvu marekan ni dollar yake tuuu ambayo pia anamsaidia na rafik yake uwingereza.

Lakin ukipima uchumi in real commodity produce China imeiacha marekan mbali sana, hapa kuna watu watasema bidhaa za China hazina ubora, lakin wanao waamin kwa kuwa na bidhaa bora ndio wateja wao wakubwa (US) ndio maana unaona import ya US ni kubwa sana maana yake uzalishaji wake mdogo.
Ukifatikia utaona tofauti ya China na Marekan GDP yao kwakutumia Purchasing Power Parity (PPP)
The world’s top economy: the US vs China in five charts

Vita ya sasa inapelekea itapelekea mfumuko wa bei marekan unao tokana na gharama za uzalishaji (usiwaze kupunguzwa kwa kodo tuu marekan mara zote doki kwa madhaa za ndan zipo chin) ila wanagharamia pesa nying sana ktk matumizi ya technologia na labor force na kufanya chochote kinacho zalishwa marekan kuwa na gharama kubwa ambayo sio real actual cost ila ni inflationary cost inayo tokana na cost push.

Sasa kama billionaires wa Marekan ambao wamewekeza nchi kama China India Japan na sehem zingine watajari zaid profit difference kat ya marekan na nje ya marekan, kutapelekea uhaba mkubwa wa bidhaa na kupunguza vigezo si ajabu wakaimport zaid. (Case study, protectionism of sugar industrial product in Tanzania)

Had sasa wachum wanampiga Trump maana wanajua hali halisi na mabadiliko yake sio ya zimamoto ila ya mipango, kwakuwa wanasiasa ni wabinafsi kwakutaka sifa na madaraka wanakosa subira na kupapalikia mambo ambayo yanaitaji muda mrefu kufikia ufanis wake.
 
Kwa matamanio upo sahihi, kiuhalisia completely wrong.

Afrika ni soko zuri kwa cheap substandard chinese products lakini strong chinese quality products market ni North America na Europe.
Mkuu nifahamishe kidogo Apa tuna mjadili Marekani au tunajadili pamoja na European au na north America nzima wamemuunga marekani mkomo juu ya kuzipandishia ushuru Biadhaa za china !!?
 
Find this , africa or Usa where does chiness invest more money.

Mkuu
China inaidai USA hela as of January 2018 kiasi cha 1.17 USD trilion dollars...China inaidai Africa some few tens USD Billions dollars...

China ina hela nyingi USA zaidi ya Africa put together!

Africa ni kashamba kabibi tu ku-provide some raw materials kwa ajili ya viwanda kadhaa China...

Africa is overated!

China needs USA more than Africa put together!
 
Mkuu
China inaidai USA hela as of January 2018 kiasi cha 1.17 USD trilion dollars...China inaidai Africa some few tens USD Billions dollars...

China ina hela nyingi USA zaidi ya Africa put together!

Africa ni kashamba kabibi tu ku-provide some raw materials kwa ajili ya viwanda kadhaa China...

Africa is overated!

China needs USA more than Africa put together!
Source
 

Mkuu

`tafuta google...hela China wanayowadai USA..au deni la China kwa USA.....deni zima la USA China inamiliki asilimia 19% nzima ya hilo deni!

Ukitoka hapo,tafuta deni la China wanalowadai Africa nzima..then compare the two figures..Ni kama mbingu na ardhi!
 
Back
Top Bottom