Muwindaji JF-Expert Member Joined Feb 28, 2015 Posts 245 Reaction score 206 Dec 10, 2017 #1 Habari wadau. Hili ni tractor aina ya Massey Ferguson Horsepower 255. Tunakupatia na jembe lake bure ukinunua tractor. Lipo maeneo ya Bunju. Japo biashara itamuhusisha mtu aliyepo popote. Kwa mawasiliano zaidi Piga namba hizi: +255712138156
Habari wadau. Hili ni tractor aina ya Massey Ferguson Horsepower 255. Tunakupatia na jembe lake bure ukinunua tractor. Lipo maeneo ya Bunju. Japo biashara itamuhusisha mtu aliyepo popote. Kwa mawasiliano zaidi Piga namba hizi: +255712138156
Muwindaji JF-Expert Member Joined Feb 28, 2015 Posts 245 Reaction score 206 Dec 10, 2017 Thread starter #2 Unaruhusiwa kufanya mawasiliano kwenye namba hiyo muda wowote.
B Boutafrica JF-Expert Member Joined Dec 11, 2014 Posts 1,260 Reaction score 2,744 Dec 10, 2017 #3 Weka bei....
Bossless JF-Expert Member Joined Oct 27, 2017 Posts 1,381 Reaction score 2,949 Dec 10, 2017 #4 Bei gani naona kama limeshapiga mzigo vya kutosha.
kangau JF-Expert Member Joined Jan 7, 2016 Posts 258 Reaction score 258 Dec 10, 2017 #5 Mtu akiona tu uzii huu kwanza anakimbilia kwenye bei, hata kama picha haijafunguka bado.."WEKA BEI MZEE"
Mtu akiona tu uzii huu kwanza anakimbilia kwenye bei, hata kama picha haijafunguka bado.."WEKA BEI MZEE"
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,915 Reaction score 30,027 Dec 10, 2017 #6 Bei ni kubwa sana mpaka naogopa kuiweka hapa, Njooni Inbox,
Muwindaji JF-Expert Member Joined Feb 28, 2015 Posts 245 Reaction score 206 Dec 10, 2017 Thread starter #7 Bei ni milioni 24.
Muwindaji JF-Expert Member Joined Feb 28, 2015 Posts 245 Reaction score 206 Dec 10, 2017 Thread starter #8 Kwa maelezo zaidi naomba mnicheki kwenye hiyo namba yangu. Kwa mtu yoyote wa Dsm anayetaka kuliona anicheki kwenye hyo namba.
Kwa maelezo zaidi naomba mnicheki kwenye hiyo namba yangu. Kwa mtu yoyote wa Dsm anayetaka kuliona anicheki kwenye hyo namba.
Muwindaji JF-Expert Member Joined Feb 28, 2015 Posts 245 Reaction score 206 Dec 10, 2017 Thread starter #9 Bossless said: Bei gani naona kama limeshapiga mzigo vya kutosha. Click to expand... Mkuu hii ni product bora kutoka uingereza... Durability ndio sifa yake kubwa. Hata hivyo halijatumika sana. Nicheki humu 0712138156
Bossless said: Bei gani naona kama limeshapiga mzigo vya kutosha. Click to expand... Mkuu hii ni product bora kutoka uingereza... Durability ndio sifa yake kubwa. Hata hivyo halijatumika sana. Nicheki humu 0712138156