Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,729
- 5,639
Ana leanings kidogo towards Chadema. Slight leanings.
Lakini analysis yake ya hali ya siasa ni quite accurate.Anaongea mambo yale yale ambayo Watanzania wanayazungumzia.
Nadhani everyone should be calm,na hawa vijana idealistic,kama huyu Captain Tesha,ambao wanafikiria nchi yetu inaangania,such youths should be told to be calm.
Sasa tusibiri Uchaguzi,tupige, lazima tupige kura,kwa sababu hii siyo nchi ya Kisultani. Tuna Katiba ambayo inatutaka tupige kura.
Very alarming talk from Captain Tesha ,but youths can say just about anything.
Serikali ingewacha haraka ya kufungia mitandao ya kijamii.
Sasa wananchi wanajiongoza wenyewe wanayapiga mawe mabasi.
Lakini analysis yake ya hali ya siasa ni quite accurate.Anaongea mambo yale yale ambayo Watanzania wanayazungumzia.
Nadhani everyone should be calm,na hawa vijana idealistic,kama huyu Captain Tesha,ambao wanafikiria nchi yetu inaangania,such youths should be told to be calm.
Sasa tusibiri Uchaguzi,tupige, lazima tupige kura,kwa sababu hii siyo nchi ya Kisultani. Tuna Katiba ambayo inatutaka tupige kura.
Very alarming talk from Captain Tesha ,but youths can say just about anything.
Serikali ingewacha haraka ya kufungia mitandao ya kijamii.
Sasa wananchi wanajiongoza wenyewe wanayapiga mawe mabasi.