TRA-written interview

That is one of the most fairness recruitment process in the country, my friend aliingia last year february as assistant custom officer hakumjua mtu yeyote sema waliochaguliwa wote watabe hata wakati wa training camp pale jeshi la wokovu alikubali ilijaa watabe tu, kama huna below 3.8 nenda kafanye mtihani kwa nguvu zote ukukomboe maana at the end ni wenye gpa kusoma tu ndo watakaopona, hapo ndo utajua umuhimu wa kusoma cbe au udsm au mzumbe as hawaangalii huku wanabana gpa wala nini, kama gpa ndogo unapigwa kapuni fasta watabe wabaki kushindana transcripts, jamaa yangu alimaliza cbe lakini alipata wengine na chuo kikuu tukakosa, but thanx big 4 auditing firms zilishaokoa jahazi lisizame
 
Watabe ndo wa wapi? Mara wachagga saizi watabe, then mara GPA iwe kubwa. Which is which?

Afu tuambieni wanauliza nini uko....
 
Wana jamvini!kwanza aslam alyekum. Mimi ni mmoja kati ya watu walioomba nafasi zile 40 za assistant customs officer.Kiukweli nilikuwa nategemena sana kuitwa kwenye interview mana nina vigezo vinavyohitajika.Juzi nilipoona hii thread kuwa tra wameshaita watu kwenye interview nilichanganyikiwa sana mana nilijua nishaachwa.Nikaenda posta lakini sikukuta kitu.Lakini jana hiyo hiyo nikapigiwa simu majira ya saa 11 jioni kuwa niende nikachukue barua pale tra leo.

My take.

Kwanza ambao hamjaitwa bado msikate tamaa mana process ya kuitwa ni bado inaendelea.

Pili,nasikia jamaa wameamua kupiga simu kwa kila aliyekuwa shortlisted,sasa incase ukapigiwa na ukasema kuwa wewe upp dar,utaambiwa uende pale tra HQ ukachukue barua ,au ukapigia lakini ukawa haupo dar or umepigiwa but hupatikani kwenye cm or hukupokea cm then wataituma straight kwenye box yako.

So wanajamvini msiwe na wasiwasi kwa kuona kuwa ushaachwa.Bado muda hupo.
 
Wana jamvini!kwanza aslam alyekum. Mimi ni mmoja kati ya watu walioomba nafasi zile 40 za assistant customs officer.Kiukweli nilikuwa nategemena sana kuitwa kwenye interview mana nina vigezo vinavyohitajika.Juzi nilipoona hii thread kuwa tra wameshaita watu kwenye interview nilichanganyikiwa sana mana nilijua nishaachwa.Nikaenda posta lakini sikukuta kitu.Lakini jana hiyo hiyo nikapigiwa simu majira ya saa 11 jioni kuwa niende nikachukue barua pale tra leo.

My take.

Kwanza ambao hamjaitwa bado msikate tamaa mana process ya kuitwa ni bado inaendelea.

Pili,nasikia jamaa wameamua kupiga simu kwa kila aliyekuwa shortlisted,sasa incase ukapigiwa na ukasema kuwa wewe upp dar,utaambiwa uende pale tra HQ ukachukue barua ,au ukapigia lakini ukawa haupo dar or umepigiwa but hupatikani kwenye cm or hukupokea cm then wataituma straight kwenye box yako.

So wanajamvini msiwe na wasiwasi kwa kuona kuwa ushaachwa.Bado muda hupo.


Mkuu ahsante kwa taarifa lakini bado sijaelewa unaposema bado muda upo wakati interview inafanywa j3 tar 26?
 
Watabe ndo wa wapi? Mara wachagga saizi watabe, then mara GPA iwe kubwa. Which is which?

Afu tuambieni wanauliza nini uko....

Kaka watabe inamaanisha somasoma/wasongo au watu wanaofaulu sana darasani sio kabila kama ulivyoelewa, ni msemo unaotumika sana udsm, mzumbe na shule za serikal the same as kipanga, so hapo tra kama una gpa wasiwasi ni ngumu labda utoke familia za kina mwanaasha
 
kama huna 4.2 gpa, chuoni ulienda kufanya nn? vilaza nyie na bado mwataka kz tra na bot!
 
kama huna 4.2 gpa, chuoni ulienda kufanya nn? vilaza nyie na bado mwataka kz tra na bot!

kila mtu akipata 4.2 izo nyingine atapata nani, chuo sio kupata GPA kubwa cha muhimu ni kuelewa na kupata maujanja ya kukabiliana na challange za maisha
 
Jaman eh, mbona mi na GPA ya maana tu lkn hata kuitwa siitwi? Mi cjaona huo ufair unatokea wap? Na washkaj wengine wana 1st class ila cjackia kuitwa, asa hapo inakuwajekuwaje
 
kama huna 4.2 gpa, chuoni ulienda kufanya nn? vilaza nyie na bado mwataka kz tra na bot!

acha ushamba ww! mwenye akili za busara na hekma hawezsema maneno km hayo!unaelekea unadharau sana ww! kama ulifanikiwa na M.mungu alikupa uwezo wakupata first class basi mshukuru Mungu sana kwani asingetaka kukupa hyo first class usingeipata hata km ungekesha milele kusoma! huwez jua ni mambo gani yakimaisha yalimfika mtu asiweze kupafom vizuri darasani! kuna maradhi,kufiwa n.k! acha hizo fikra sawa?binadam wema hawapo hivyo! jirebishe
 
Wametuma barua kwa njia ya Posta? Si wangetuma E-mail tu then mhusika aiprint, aende nayo!
 
Back
Top Bottom