TRA-written interview

countdown to 26 march ,no phone call, no letter
Nahisi ishakula kwangu,
"go to college,study hard ,get good grades , get a secured job"
Mbona hizo gud grades hazitusaidii hata kuwa shortlisted
 
duuu najuta kutosoma vyuo wanavyotoa gpa kama njugu na 3.7 yangu ya udsm naonekana **** mhhhh
 
Nimepigiwa leo asubuhi. Cut off ya GPA ni 3.9 and above only mdau
Sasa kama cut-off ni GPA 3.9 and above (which means hata ikiwa 4.5 ni cut-off), maana yake nini, si hakuna hata mmoja aliyetakiwa? Mimi najua cut-off huwa ni point moja tu e.g 3.9, au walau ungesema "and below" japo bado si sahihi. Anyway, maybe walikuwa wanahesabu from below to above, wenye 3.9 and above wakawatema.
 
duuu najuta kutosoma vyuo wanavyotoa gpa kama njugu na 3.7 yangu ya udsm naonekana **** mhhhh

Kaka usiwe na shaka kama elimu yako ilkupa maarifa na sio gpa bila maarifa basi we ni mgodi unaotembea,utatoka tu. Ila kama ni gpa kubwa bila maarifa hata kama ungesoma vyuo vinavyotoa gpa ya 4.999999;hata kwenye interview ungeonekana *********
 
learning/knowledge is a treasure that will follow its owner everywhere- chinese proverb
 
Mi chuo nliondoka na 3.46 lakini hata hao wenye 3.9 nawaacha mbali sana kwenye kupiga mzigo.
Yaani wananijua kabisa kua "hakishindwi" kitu hapa kwangu.
GPA si issue sana, kwani pia inategemea Na umebebwa na masomo gani kupata hiyo GPA.
 
Tatizo la tra kwenye selection ya last year february walifata gpa tu hawakujali umesoma wapi, mwisho wa siku waliopata asilimia kubwa ni from ifm and cbe as ndo walikuwa na gpa nzuri sana, so they have to change so that udsm people can compete, tatizo kazi zinazoangalia gpa graduates wa udsm wanapata shida as majority gpa ni za kishkaji as wanabana sana gpa wale wazee, hapo ndo watoto wa institute wanapoonesha uwezo wao na kuzoa ajira bila zengwe as gpa za 4.1 and above kwao sio ishu kuzipata
 
Kama vigezo ndo hivyo mbona nina vigezo vyote na gpa zaid ya 4 lkn no call no letter.
 
mhhhh!!!!!!!!!!, unaweza kuzeeka bila kaz, hata hatujui imeendaje, pole zetu watoto wa wakulima, tunaishia kutuma barua za maombi, jamani tanzania, Munguibariki TR......................:cool2:
 
jaman naombeni mnisaidie majina ya borders za tanzania katika miji ifuatayo,baadhi nimeijaza
kwa mfano:
tanzania/uganda in kagera-MUTUKULA
tanzania/kenya in mara-SIRARI
tanzania/kenya in Arusha-NAMANGA
tanzania/kenya in Tanga-HORORO
tanzania/kenya in kilimanjaro-
tanzaniamozambigue in ruvuma-
tanzania/mozambigue in mtwara-
tanzania/malawi in mbeya-
tanzania/zambia in mbeya-
tanzania/zambia in rukwa-
tanzania/burundi in kigoma-
tanzania/burundi in kagera-
tanzania/rwanda in kagera-
We za nini??
 
anataka kujua border cos
huyu kachaguliwa kwenye written J3 and kwa mawazo yake ambaye sio sahihi anadhani ndo maswali anayoendwa kuulizwa. kumbuka huyu jamaa ni mtabe so saizi anakamua kinoma. anasoma mi indirect tax mi income tax laws mi customs pronciples kumbe anapoteza mda....
 
hivi naomba kuuliza...ina maana hizi ambazo watu wanakwenda leo kwenye Interview ni post zote zilizoombwa au ni zile za Customs peke yake? Maana nina dogo langu home naona mawazo tele..
 
CC wengine vyeti vyetu havionyeshi GPA points cjui itakuwaje (iaa) kama cut off ni 3.9

Acha uongo wewe, inaonekana hujui kutofautisha Transcript na Certificate unayopewa just a day after graduation. Mimi mwenyewe nimesoma IAA cheti changu kimeonyesha wazi kabisa GPA ya kila mwaka na mwisho kabisa Overall GPA ipo wazi kabisa. Fanya homework yako vizuri katika hili.
 
Ndg.MAJASHO.Uliza waliokwenda kwenye interview leo swali namba tatu liliuliza nin.At least kwa aliekua kaona nilichouliza kina maana basi atakua kafaidika.TUSIPENDE KUPUUZA SANA WATU.
 
Acha uongo wewe, inaonekana hujui kutofautisha Transcript na Certificate unayopewa just a day after graduation. Mimi mwenyewe nimesoma IAA cheti changu kimeonyesha wazi kabisa GPA ya kila mwaka na mwisho kabisa Overall GPA ipo wazi kabisa. Fanya homework yako vizuri katika hili.

Wewe ndo hujamwelewa kwa IAA vyeti vyao havionyeshi points kwenye gpa.Wenyewe wana andika first,upper au lower second.Sasa wewe cha kwako sijui ni cha chuo gani.
 
Back
Top Bottom